Mstaarabu wa ukwee
JF-Expert Member
- Aug 9, 2013
- 212
- 140
Nianze kwa kukupongeza mdogo wangu uliyepata chuo bora kuliko vyote Tanzania.
Naamini ni juhudi zako pamoja na Neema za Mungu upo hapo.
mlimani chuo kizuri sana LAKINI umakini mkubwa sana unahitajika.
Naongelea UDSM maana nami pia nilipata Neema ya kusoma pale na nimemaliza mwaka huu.
Nataka nikwambie bata zipo nyingi sana pale usipokuwa makini zinaweza zikakupotezea malengo yako,wapo tulio anza nao wakadisco kisa uzembe japo ambao sio uzembe ila ugumu wa shule na wingi wa majukumu,binafsi sikupata shida sana maana kuna wanaojitambua walitangulia kupita pale wakanipa shule mapema,na mm leo nataka nikupe na ww ili usijute baada ya hiyo miaka yako 3/4/5.
Shetan anakamata sana vijana wa UDSM wasio na nguvu ya ziada(Nguvu ya Mungu) ktk maisha yao ya chuo. Nakushauri tu ukiamua uchukue au ukiamua uache,ukifika chuo tafuta marafiki ambao watakusaidia na kukushauri mambo mema na kukufanya ufikie malengo yako.
Nilipata bahati ya kuwa member wa fellowship moja inaitwa USCF MLIMANI(Interdenomination-yaani haina dhehebu ila kama unamuamini KRISTO tu) imenisaidia sana,nakushauri ukifika chuo itafute hiyo kama umepangwa Main campus kama upo Mabibo ipo pia inaitwa UD-MCF...ukitaka kuwa salama jiunge na moja wapo ya hizo fellowship.
wanafundisha mambo mengi sana ya kukusaidia maana maisha sio cheti tu.
Baadhi ya vitu unavyoweza kujifunza huko na vikakusaidia ni kama:-
1.Kumjua Mungu kwa undani zaidi na jinsi gani anaweza kukusaidia kwenye shule na maisha kiujumla
2.Mahusiano...uchumba..
3.Ujasiriamali
4.Jinsi gani ya kufanya vizur ktk shule yako.
Vyote hivyo utavipata kupitia semina mbali mbali zinazoandaliwa na hao watu na kufundishwa na watumishi wanaojua kama Joel Nanauka,Sam Sasali,Chris Mauki n.k
Zaidi ya yote utapata nafasi ya kujuana na watu wengi na wengine maarufu Tanzania hii na kama unavyojua watu ni mtaji
Utajifunza pia kukuza kiingeleza chako na kukuza confidence yako ya kuongea mbele ya watu ambayo ni mtaji wako baada ya kumaliza chuo.
BINAFSI YOTE HAYO NIMEYAPATA KUPITIA HIZO FELLOWSHIP NA WALA SITANII
Nina mengi ya kukwambia kuhusu UDSM but leo naishia hapo.
kwa msaada zaidi kuhusu ushauri wowote au kuzijua hizo fellowship zaidi nicheck
0768448747
0673448647
Naamini ni juhudi zako pamoja na Neema za Mungu upo hapo.
mlimani chuo kizuri sana LAKINI umakini mkubwa sana unahitajika.
Naongelea UDSM maana nami pia nilipata Neema ya kusoma pale na nimemaliza mwaka huu.
Nataka nikwambie bata zipo nyingi sana pale usipokuwa makini zinaweza zikakupotezea malengo yako,wapo tulio anza nao wakadisco kisa uzembe japo ambao sio uzembe ila ugumu wa shule na wingi wa majukumu,binafsi sikupata shida sana maana kuna wanaojitambua walitangulia kupita pale wakanipa shule mapema,na mm leo nataka nikupe na ww ili usijute baada ya hiyo miaka yako 3/4/5.
Shetan anakamata sana vijana wa UDSM wasio na nguvu ya ziada(Nguvu ya Mungu) ktk maisha yao ya chuo. Nakushauri tu ukiamua uchukue au ukiamua uache,ukifika chuo tafuta marafiki ambao watakusaidia na kukushauri mambo mema na kukufanya ufikie malengo yako.
Nilipata bahati ya kuwa member wa fellowship moja inaitwa USCF MLIMANI(Interdenomination-yaani haina dhehebu ila kama unamuamini KRISTO tu) imenisaidia sana,nakushauri ukifika chuo itafute hiyo kama umepangwa Main campus kama upo Mabibo ipo pia inaitwa UD-MCF...ukitaka kuwa salama jiunge na moja wapo ya hizo fellowship.
wanafundisha mambo mengi sana ya kukusaidia maana maisha sio cheti tu.
Baadhi ya vitu unavyoweza kujifunza huko na vikakusaidia ni kama:-
1.Kumjua Mungu kwa undani zaidi na jinsi gani anaweza kukusaidia kwenye shule na maisha kiujumla
2.Mahusiano...uchumba..
3.Ujasiriamali
4.Jinsi gani ya kufanya vizur ktk shule yako.
Vyote hivyo utavipata kupitia semina mbali mbali zinazoandaliwa na hao watu na kufundishwa na watumishi wanaojua kama Joel Nanauka,Sam Sasali,Chris Mauki n.k
Zaidi ya yote utapata nafasi ya kujuana na watu wengi na wengine maarufu Tanzania hii na kama unavyojua watu ni mtaji
Utajifunza pia kukuza kiingeleza chako na kukuza confidence yako ya kuongea mbele ya watu ambayo ni mtaji wako baada ya kumaliza chuo.
BINAFSI YOTE HAYO NIMEYAPATA KUPITIA HIZO FELLOWSHIP NA WALA SITANII
Nina mengi ya kukwambia kuhusu UDSM but leo naishia hapo.
kwa msaada zaidi kuhusu ushauri wowote au kuzijua hizo fellowship zaidi nicheck
0768448747
0673448647