kaka maguruneti serikali itakusumbua utahama ww utahamia gerezani dawa ya jirani mkorofi ni hii
NUNUA PILIPLI KICHAA KAMA KILO MOJA IKAUSHE KABISA,CHUKUA KOPO YALE YA RANGI AU JINGINE LOLOTE WEKA
MKAA ULIOWASHWA ONGEZA UKAA KOPO LIFIKIE NUSU USIKOLEZE NENDE KARIBU KABISA NA NYUMBA YA JIRANI...
hawa jamaa hawana uruma kabisa na watanzania barabara zilizo chini ya kiwango zimekua ni kaburi la watanzania wenzangu barabara mbovu kama hii leo huko iringa imeangamiza watanzania wasiokua na hatia sijui wataifikisha wapi hii tanzania MUNGU IBARIKI TANZANIA
tumia akili ww tabu lalasa umeona KUSEPA nini neno baya kuliko huyo fisadi fataki kufanya ngono ,Uzinzi wakati anandoa yake mm maamini hata ukijitaidi kumsafisha kiasi gani hasafishiki yuko hoii ben taabani na amekaka kimya nyie wapambe na shida zenu njaa zitawaua
kaka maisha yamekushinda kwa sasa kapuya yuko hoiii hawezi hata kukuweka kwenye serikali za mitaaa ni bora ukaacha kupiga domo humu ukaenda kwake atakupa kazi nzuri kupika ,kufua,kuosha viombo full house girl siunajua mahouse girl same time wanamiliki nyumba jaribu umaweza ukamiliki gorofa...
Kaka umeshachelewa maisha kapuya kwa sasa hana uwezo hata kukuweka kwenye serikali za mitaa ni bora ukaenda kwake kwanza anakujua anajua ulichokifanya atakupa kazi nzuri za ndani angalau maisha yatabadilika kidogo
Pole sana mwalim alikuwa anatekeleza maagizo ya waziri mkuu (PIGA TUU)hawa police wameshazoea kupiga raia kunasiku watatafuta pa kuishi hawakumbuki kuwa hawana nyumba tunakaa nao mitaani kule mtwara wote walilala juu ya paa la kitua cha police yashukuru jwtz
Baada ya madawa ya kulevya kukamatwa Africa kusini Mwakembe alikwenda uwanja wa ndege akamkamata teja sijui kama hata alikuwa na passiport leo kagashek amekuwa police hadi anabisha hodi kwa mchina anakamata meno ya tembo wakati wa oparation hawakuona hata mizoga ya tembo waliona ng'ombe na...
Tangu biashara ya sembe ilipogundulika mambo yanaanza taratibu mara gari bmw X 5 hapo tanga huitaji viza ni kwenda kuichukua tu unaogopa nini ? au ataweka mambo hadharani mambo yameanza kwenda mrama sasa tunasubiri samaki mkubwa atamla mdogo au kilio cha samaki machozi ndani ya maji
Ww ni muislam ? Je ? Unatokea bagamoyo au chalinze ? Kama ni masuala ya kazi kwenye gesi nafasi zimekwisha usaili wa mwisho ulikwisha last week kule lindi
Pole sana kaka lazima ujichunguza kwanza mwenyewe wewe ni jembe na linajua kutifua kweli kweli kama uko poa fanya ivi take at easy kumbuka uoga ni dhambi chukua maamuzi huu tafuta mwanamke mwingine songa mbele usiangalie walimwengu watasema nn
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.