Hivi kweli nduhu,upo radhi utoe m43 kununja Vanhard uache discovery 3 kwa m 35?? Embu tuache utani,wakati nanunua vw tiguan nilitishwa sana yaani,sahv chuma ina mwaka wa tano sijagusa kitu zaidi ya svc baasi,tutafute pesa hakuna gari mbovu
Moroko wamepeleka ndege zaidi ya 12 kwaajili ya mashabiki tu,na zimerudia mara kibao tu,unategemea wachezaji watakosa hamasa? Sisi wameenda wanasiasa tu usitegemee maajabu
Umaskini nimbaya sana nduguzangu,hakuna gari baya,kumbukeni expertie wamethibitisha liuzwe internations,so ubahili wako usisingizie wengine,nina br ana disco 4 ,mwaka wa nane sasa hajawahi gusa jiko zaidi ya svs na kwenye tairi,pads baasi,sasa utasemaje ni gari bovu??? Tutafute pesa.chuma anayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.