Umaskini nimbaya sana nduguzangu,hakuna gari baya,kumbukeni expertie wamethibitisha liuzwe internations,so ubahili wako usisingizie wengine,nina br ana disco 4 ,mwaka wa nane sasa hajawahi gusa jiko zaidi ya svs na kwenye tairi,pads baasi,sasa utasemaje ni gari bovu??? Tutafute pesa.chuma anayo...