Recent content by dagii

  1. D

    Discovery, Range zaanza kutelekezwa gereji

    Ukipata disco ya chini ya km 70000 unauhakika wa kukaanayo miaka 5 bila kugusa jiko
  2. D

    Nilichijifunza royal engagement party

    Tafuta pesa br,hawana njaa hao hahaahaa
  3. D

    Kama Mchungaji anaweza kutudanganya wazi wazi anashindwa nini kutuibia sadaka?

    Hajajaa,shida ndio zinafanya wawe hivyo,hujamuona wa jana kawaachisha watoro shule ili wamsubiri Yesu?
  4. D

    Discovery, Range zaanza kutelekezwa gereji

    Hivi kweli nduhu,upo radhi utoe m43 kununja Vanhard uache discovery 3 kwa m 35?? Embu tuache utani,wakati nanunua vw tiguan nilitishwa sana yaani,sahv chuma ina mwaka wa tano sijagusa kitu zaidi ya svc baasi,tutafute pesa hakuna gari mbovu
  5. D

    2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

    Moroko wamepeleka ndege zaidi ya 12 kwaajili ya mashabiki tu,na zimerudia mara kibao tu,unategemea wachezaji watakosa hamasa? Sisi wameenda wanasiasa tu usitegemee maajabu
  6. D

    2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

    Wenzetu kila anaye ingia ni kutoka ligi za wenzetu,sio shaka tusitoke hata na goli moja mashindano haya
  7. D

    Tamaa mbaya

    Bonge la uzi
  8. D

    Discovery, Range zaanza kutelekezwa gereji

    Umaskini nimbaya sana nduguzangu,hakuna gari baya,kumbukeni expertie wamethibitisha liuzwe internations,so ubahili wako usisingizie wengine,nina br ana disco 4 ,mwaka wa nane sasa hajawahi gusa jiko zaidi ya svs na kwenye tairi,pads baasi,sasa utasemaje ni gari bovu??? Tutafute pesa.chuma anayo...
Back
Top Bottom