Habarini za jioni hii wana jamii Forum. Natafuta rafiki wa kike wa kuchat naye, kushauriana mambo ya maisha, pamoja na kubadilishana mawazo, sifa awe anaishi Mwanza, umri chini ya miaka 23. Mimi ni kijana wa kiume umri miaka 26. Kwa yeyote aliye tayar ani PM
Natumai mu wazima wanafamilia wa JF,
Nipo apa kuandika Uzi huu kwaajili ya kumtafuta rafiki wa kike, atakaekuwa mpenz wangu, mchumba na baaadae tuje kufunga ndoa na kuishi pamoja kama
mume na mke.
Sifa Zangu;
-Mkristo na mcha Mungu,
-Elimu ya chuo kikuu
- Nimeajiriwa
-umri wangu miaka 26...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.