Natumai mu wazima wanafamilia wa JF,
Nipo apa kuandika Uzi huu kwaajili ya kumtafuta rafiki wa kike, atakaekuwa mpenz wangu, mchumba na baaadae tuje kufunga ndoa na kuishi pamoja kama
mume na mke.
Sifa Zangu;
-Mkristo na mcha Mungu,
-Elimu ya chuo kikuu
- Nimeajiriwa
-umri wangu miaka 26...