Nakusubiri wewe tena utanipeleka kule kwenu kwa DC Agnes Hokororosipo tayari kwa sasa wew endelea kutafuta wengine
Nakusubiri wewe tena utanipeleka kule kwenu kwa DC Agnes Hokororo
Sina haraka nakusubirisipo tayari ndugu ..nipo likizo ...tafuta kwingine tu usipoteze muda wako bureee kunisubiri
Sina haraka nakusubiri
Wahenga walishasema Subira yavuta Heriendelea kunisubiri huenda Mungu akasikia kilio chako tehteh
Haya mambo bana ni shida mi tulikutana na mume wangu nikiwa navuka barabara kuelekea kazin.alisimama nivuke then kikaeleweka till today such a good human being.So omba then sio utegemee mitandao maana utashindwa kuchagua bure upate koroma.angalia sehem zingine bt hapa fanya 20% tu.goodluckKanisani, kazini, kwenye usafiri, mtaani huko kote umeshindwa kukutana na bint? Kama una gari jaribu kupanda dala dala kwa mwezi mmoja kwenda na kurudi kazini unaweza kukutana na mwenza huko.