Recent content by dadysam

  1. dadysam

    JamiiForums Tanzania Kanisa Katoliki Lawapa Mahala Pa Kuabudia Waumini wa Gwajima

    Ina maana au basi ..
  2. dadysam

    JamiiForums Tanzania Msaada: Mtoto wangu wa kiume wa miezi saba haoneshi dalili ya kusimamisha uume

    Kaka hauko serious miezi 7 tayar madawa ya kimasai hospital zipo ila hilo ni tatizo letu watz kwanza unajaribu vya mitaani yakifika shingoni ndo unapajua hospital sio sawa kabisa ni mazoea mabaya sana
  3. dadysam

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jinsi Introverts wanavyopata tabu kuingiliana na watu wanaowazunguka

    Duh!!! Very true
  4. dadysam

    JamiiForums Tanzania Je, mtoto chini ya mwaka mmoja analipia matibabu?

    Kwanza maswali kaacha mengi sana. Ameenda hospital binafsi au ya serikali? Mtoto alikua anaumwa nini? Pengine kaenda binafsi ye aliskia tu watoto bure lazima limkute hilo.
  5. dadysam

    JamiiForums Tanzania Kisa Cha kondakta anayepanga kugomea kukabidhi gari Kwa mmiliki.

    Hongera sana mwandishi Duh…..[emoji848] Sent from my DRA-LX5 using JamiiForums mobile app
  6. dadysam

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Tena mtu kapasuka mpaka mtaji halafu unamwambia anapenda mseleleko lazima akutane nayo
  7. dadysam

    JamiiForums Tanzania Arusha: Yaliyojiri mapokezi ya Godbless Lema, Adai VICOBA ni umasikini, Mama lishe ni utumwa, Samia asitukanwe, Mbowe ampa kazi ya Katiba Mpya

    [emoji848] andika na faida zake basi ili tuone kweli làana nadhani hakuna kazi ambayo haina risk na hizo ambazo umeweka hapo zinaingia sehemu nyingi mfn udereva wa basi,malori n.k
  8. dadysam

    JamiiForums Tanzania Mgawo wa Umeme wasitishwa, utafiti mpya umeona hauhitajiki kama awali

    Sababu ya kwanza ni rais kasema. Hivi kweli tupo serious [emoji850][emoji850][emoji850][emoji849][emoji849][emoji848]
  9. dadysam

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    asante sana mkuu
  10. dadysam

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Habari wadau mi mgeni kidogo kwenye upande wa kubet ila kuna hawa wanaouza fixed match hvi ni kweli ama wapigaji tu?
  11. dadysam

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wengi sana wamechaniwa [emoji16][emoji16][emoji16]
  12. dadysam

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    [emoji857][emoji857][emoji857][emoji857][emoji857][emoji857][emoji857][emoji857][emoji857][emoji120][emoji120][emoji120]
  13. dadysam

    JamiiForums Tanzania Visa nilivyoshuhudia kwa ndugu yangu Mtaalam wa Tiba za Asili

    Duh! Kweli uchawi unatesa sana jamii zetu ila sijui ni mawazo yangu tu kwanini wanaolalamika kuhusi hizi ishu wengi ni fukara na ambao kidogo shule imepita mbali.(Narudia tena mawazo yangu)
  14. dadysam

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Asilimia kubwa ya Wanawake huanza enjoy Mapenzi kuanzia kwa Mwanaume wa Tatu na kuendelea

    Ajabu ya huu uzi wote waliocomment mpaka sasa ni wanaume wenyewe wako wapi waliofanyiwa utafiti???
Back
Top Bottom