Inaonekana we mshamba mshamba tu ndo maana wakaona wakutoe due kama hakukuwa hata na maelekezo ya kuwa meza Iko reserved ..waliofanya kukuonea tu...aitha kwa muonekano au dressing code
Kama mwanza ndo hawajal kabisa...jana ilikuwa nane nane na magar yakikuwa mengi ukizngatia na barabara yenyew ni uchochoro ila kuna zebra crossing moja iv yaan greenligh inawaka ila magara yanapita tu...kama si msaada wa traffic kuingilia kat watu wangesimama hata saa nzima
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.