kwahy inatkiwa wajitahid kuongeza ujuz na tactc ndogo ndogo ju ya kazi yao....me nahc kikubwa wengi wao wale waliopata zero at o level then wakaamua kwenda dsj kuzugazuga so hawawez kua relax coz muda wote wanawaza kibarua kuota nyasi'
hao ni watu waliokua wanafkilia upumbav ju ya uwepo wa mungu tatizo kubwa walikua wanajiuliza maswali ambayo hakukua na wakuwajib na hy ndo ikawa sababu ya kusadiki kile walichofikilia...na vlevle maswali yote waliokua wakijiulza majibu waliyatoa wao wenyewe ..ndo mana likawa tatizo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.