Kama Mama aliona shida kubwa ya Ndugai ni race ya 2025, basi itakua hivyo pia kwa kiongozi yoyote wa muhimili kutoka kwenye Generation ya kina Ndugai, kulewa kiti na kuanza kuuwazia uRais 2025....Damu changa inahitajika kuongoza mhimili huu kwa sasa hivyo kwangu ni:
1. David Kihenzile - ni...
Kama Mama aliona shida kubwa ya Ndugai ni race ya 2025, basi itakua hivyo pia kwa kiongozi yoyote wa muhimili kutoka kwenye Generation ya kina Ndugai, kulewa kiti na kuanza kuuwazia uRais 2025....Damu changa inahitajika kuongoza mhimili huu kwa sasa hivyo kwangu ni:
1. David Kihenzile - ni...
Non sense!!! Acha kuishi kwa kukariri aisee.....Wewe endelea kuita upuuzi na sisi tunaendelea kuonyesha umahiri wa vijana wachache wa Kitanzania wanaofanya moves beyond their limits.
George Michael Uledi.
Tabora, Tanzania.
June, 2021
Naweza nikasema mchakato wa ndani wa CCM wa kuchakata watia nia wa Ubunge mwaka 2020 ulikuwa bora sana pengine kuliko michakato mingi ya nyuma na pongezi za pekee ziende kwa Chama cha Mapinduzi na Serikali yake chini ya hayati JPM,Makamu wake...
Wiki mbili zilizopita tuliandika waraka mfupi ambao ulilenga kufichua njama za baadhi ya watendaji na viongozi wetu wanaokesha kuhujumu chama chetu cha Redcross. Leo tunaandika tena kwa ufasaha zaidi na tutajikita katika maeneo sita kati ya maeneo 21 yaliyopo.
1. Hoja kuu inayotafuna chama...
Taarifa zilizotukia hivi punde ni kuhusu kundi la vijana wapatao 11 wameanza mchakato wa kimya kimya kuomba serikali iingilie kati kuwalazimaisha viongozi Redcross kuruhusu uchaguzi ufanyike ama la uongozi uliopo uvunjwe na kiundwe chombo huru cha mpito kuongoza chama hicho.
Inaelezwa kuwa...
Ndugu wana jamvi, kwa kipindi kifupi nimekuwa nikifuatilia kinachoendela ktk mitandao ya kijamii! Awali tuliona andiko la Mwanjelwa ambaye amekuwa akilalamikia kuingiliwa na Naibu Spika Dkt Tulia kwa kuita wajumbe viongozi wanawake na kuwapatia semina yenye lengo la kuwapatia elimu ya kiuongozi...
Honestly mtoa maada alikua analenga jambo lingine kabisa juu ya ujuaji wa watangazaji wa clouds kwny maswala ambayo ni too professional...ila wananzengo kwenye comment wamekuja na return kubwa sana wa wivu on personal life ya watangazaji.
Maswala ya mishahara plus magari nadhani ni ya mtu...
Habari wakuu...nina iphone ya kutoka UK iko locked kwnye vodaphone UK NETWORK,kwa anayejua njia za kuifungua naomba msaada please.
Kama ni kuorder online unlocking service kwa 3rd party companies...naomba recommendation ya best place to order.
Naomba kuwasilisha wakuu🙏🏽.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.