Namm naufufua huu uzi kwa kuuliza nataka kuuza hisa zangu za nmb kupitia simu (nmb mkononi au mpesa) kila nikijaribu kesho yake nakuta oda rejected nimejaribu mara nne sasa.. broker anaitwa Exodus advisory services ltd.. 😪 sijui tatizo ni nini?? Msaada please
Nenda sinza mori ile njia ya kwenda mabatini.. moja kwa moja mbele kulia kuna vitu used kibao mbao milango madirisha makubwa ya maofisini yamejaaa kibao.. mbao za kila aina mninga, mvule n.k bei chei
Mie sio wao!! Ila kanuni inamruhusu sabab akidi haikufikiwa kama inavyotaka kanuni.. 75% ya wajumbe wawepo kwenye kikao sasa walifikia 50% tu.. sabb ye msajili wa hcho chama kuna taratibu za kuwatambua wajumbe wa sekretarieti na kamat kuu. SHERIA NA KANUNI.. na Mnyika mbona amejibu vizur kwa...
Kaka kwema, nimeona hii LBL inazidi kumea na imekua registered brela.. wamefungua ofisi hapa Tanzania moja ikiwepo koani morogoro na baraka inapata toka kwa waziri wetu wa fedha.. nini maoni yako kabla sijajiunga maana tayar nimeshawishika.
Hii video ni ya muda mrefu saaanaa.. na sidhan kama ni Tanzani ama labda mpakan mwa nchi jiran.. ila video ya zaman ishazunguka sana mitandaoni.. mkuu sijui ulikua wapi??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.