Wavulana wana muda mwingi was kujisomea, wasichana wakurud shule wanakaz pia za familia na kulea wadogo zao .mi nakumbuka kipnd hicho nikirud hom mama hayupo nitakuta mivyomboo ya Jana usiku na kutwa yote nioshe then niingie jikon, kaka akirud anaenda mpiran
Hamjambo?
Niende kwenye mada;
Nina ndugu yangu wa kiume(27), yaani ni mlevi haifai, akishaanza kunywa atahakikisha anakunywa hadi pesa aliyokuwa nayo inaisha yote.
Sasa aibu inakujaje? Akishalewa kwanza anakuwa na maneno fulani yasiyofaa, ya hovyo hovyo, ya aibu aibu yakutia aibu sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.