Majina ya watakaofanya oral ya pccb yalitoka yakiwa na changamoto kadhaa ikiwemo watu kurudiwa rudiwa mara mbili ,hilo walikuja wakalitolea majibu ,tunaomba pia mtolee majibu na hili kwa mtu ambae hakuitwa Written Interview Ila jina lake limetoka kwenye Oral interview ?
samahani kwenye ile fomu kuna sehemu inahitajika ujaze taarifa za mzaz mahali alipo mfano Baba ,Ila haijatoa option kuwa kama labda mojawapo ya mzaz ashafariki ,je Kama mzaz ashafariki inabidi hicho kipengele uachane nacho bila kukigusa ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.