dadanga Member Jan 27, 2019 63 47 Jul 9, 2021 #1 Nilikuwa napenda kuwauliza Kama kompyuta za Fujitsu ziko bora kwa matumizi ya video library kabla sijaichukua
Nilikuwa napenda kuwauliza Kama kompyuta za Fujitsu ziko bora kwa matumizi ya video library kabla sijaichukua
Chief-Mkwawa Platinum Member May 25, 2011 30,704 39,782 Jul 9, 2021 #2 Ubora wa computer hautokani na Brand Bali vifaa vya ndani vilivyotumika kama processor, ram, storage, power supply etc.
Ubora wa computer hautokani na Brand Bali vifaa vya ndani vilivyotumika kama processor, ram, storage, power supply etc.
Deejay nasmile JF-Expert Member Nov 8, 2011 5,759 5,289 Jul 9, 2021 #3 Lete 300k nikupe yangu...ikiwa na movie baadhi na nyimbo kibao
Von Bismarck JF-Expert Member Jul 11, 2018 3,073 6,251 Jul 9, 2021 #4 Deejay nasmile said: Lete 300k nikupe yangu...ikiwa na movie baadhi na nyimbo kibao Click to expand... Naomba A,B ya kuanzisha mradi huu Nikiajiri kijanaa. Faida zake na changamoto zake nijue namnaa ya kuzikabili
Deejay nasmile said: Lete 300k nikupe yangu...ikiwa na movie baadhi na nyimbo kibao Click to expand... Naomba A,B ya kuanzisha mradi huu Nikiajiri kijanaa. Faida zake na changamoto zake nijue namnaa ya kuzikabili