Hata wenye Kazi tunafanya shughuli za ziada baada ya saa za kazi tena Kwa mitaji midogo, mno yote nikukwepa madeni madogo yasiyoyalazima. Tatizo vijana wengi wasomi wanaogopa kufanya shughuli flani flani eti wataonekaje ili hali wamesoma!!!!! Na wanataka kuanza na mitaji mikubwa...kumbuka mtaji...
Yaani kama kuna watu hawapo serious ni pamoja na mtoa mada...yaani ukae ma mtu mwaka mmoja hadi mitano humpendi? Mpaka mmeanza mipango....aaaah utamkumbuka huyo na umakamo wako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.