Recent content by dacriss

  1. dacriss

    Nini tatizo kwa waliomaliza diploma kukosa nafasi ya kuingia vyuo katika awamu ya kwanza?

    hata mei nimekosa na GPA nzuri tu naambiwa you have been rejected from the system
  2. dacriss

    NAOMBA MSAADA KUHUSU TCU

    tumaini university(makumira) na tcu guid book waliweka GPA ya 3.00
  3. dacriss

    NAOMBA MSAADA KUHUSU TCU

    nimemaliza diploma ya elimu na nina GPA ya 3.6 lakini nashangaa kwenye account yangu wameniandikia you have been rejected from the system reason sijafikisha minimum entry wakat na GPA 3.6 sasa sijui wanataka minimum entry za kiwango gan.
  4. dacriss

    Rufaa dhidi ya African Lyon: Yanga kupewa alama zake 3 walizocheza dhidi ya African Lyon?

    Mpira w miguu unataribu zake kama wamekosea lazima wachukuliwe hatua hakuna cha point kuwa na umuhim au kuto kuwa ila lazima taratibu ziexhimiwe
  5. dacriss

    Gharama za kusoma Diploma chuo cha Kleruu

    N masomo ya science 2 au hata arts
  6. dacriss

    Gharama za kusoma Diploma chuo cha Kleruu

    Msaada eti wanataka principle ambazo n D au E
  7. dacriss

    Gharama za kusoma Diploma chuo cha Kleruu

    Naomben kujua kuhusu stashahada y sekondari Sifa wamesema n principle pasi 2,je principle pas hiyo wanayotaka n D au E maana c elewe
  8. dacriss

    Tundu Lissu: Dr. Slaa ni muongo, watanzania mpuuzeni. Maneno yote tatizo ni Urais

    gambas nitumie hiyo clips 0769970572 hili na mie niwezekuixkia
  9. dacriss

    Tecno L3 inauzwa Tshs 65,000/= tu

    vp 1500 unachukua fasta tufanye biashara
  10. dacriss

    Mgombea Urais kwa tiketi ya UKAWA Edward Lowassa, akiwa kwenye daladala leo asubuhi

    lowassa juuuu kama nguvu ya uma(people's power....)
  11. dacriss

    Mgombea Urais kwa tiketi ya UKAWA Edward Lowassa, akiwa kwenye daladala leo asubuhi

    huyo ndo kiongoz tunaemtaka kwenda kwa wananchi kuona matatizo yao
Back
Top Bottom