mzee wa giningi
JF-Expert Member
- Nov 1, 2016
- 519
- 336
Hii kozi ni science au arts ? Vipi kuhusu ajira zake ? Zinaweza patikana ? Wapi na unaajiriwa kama Nani ?
Asante mkuu kwa ushauriUtakua mwalimu wa vyuo vya ufundi eg veta etc.
Soma hio kozi itakua hotcake 2020 na kuendelea, nilisikia serikali itafungua veta kila wilaya
Ni stashahada tafadhali
Hii kozi ni science au arts ? Vipi kuhusu ajira zake ? Zinaweza patikana ? Wapi na unaajiriwa kama Nani ?
Toa maoni yako mkuu kuhusu kozi hiiNi stashahada tafadhali
Ingia Nacte lipia 20000 then apply umeipenda mkuu? Hii kozi nzuri mkuu kweli ?Shule za ufundi zipo tena hata za serikali mfano Moshi Tech,Tanga Tech,Ifunda Tech,Mtwara Tech!naomba maelezo juu ya namna ya ku-apply kwa sababu hizo sifa ninazo zote lakini sijui pakuanzia
Ajira zipo sana tu na unaajiriwa kama mwalimu shule za serikali zipo mfano Moshi Tech na Tanga Tech.Kozi hii ni Sayansi
Hii kozi ni science au arts ? Vipi kuhusu ajira zake ? Zinaweza patikana ? Wapi na unaajiriwa kama Nani ?
Kozi nimeipenda kwa sababu hata mimi O-level nimesoma shule ya ufundi,shule za ufundi zinashika nafasi ya pili kwa ukubwa baada ya special schools za Kibaha,Mzumbe na Ilboru.Hutajuta.Ingia Nacte lipia 20000 then apply umeipenda mkuu? Hii kozi nzuri mkuu kweli ?
Samahani kwenye ku-apply nachagua kada ya ualimu au la?Ingia Nacte lipia 20000 then apply umeipenda mkuu? Hii kozi nzuri mkuu kweli ?
Asante sana mkuuAjira zipo sana tu na unaajiriwa kama mwalimu shule za serikali zipo mfano Moshi Tech na Tanga Tech.Kozi hii ni Sayansi
Mkuu kama hii kozi nzuri goja niapply but karo yao ndoo kubwa sana sijui around laki Tisa but nitakomaa tuKozi nimeipenda kwa sababu hata mimi O-level nimesoma shule ya ufundi,shule za ufundi zinashika nafasi ya pili kwa ukubwa baada ya special schools za Kibaha,Mzumbe na Ilboru.Hutajuta
Asante kwa ushauri mzuri ndugu yangu ubarikiwe goja niaaplyAjira zipo sana tu na unaajiriwa kama mwalimu shule za serikali zipo mfano Moshi Tech na Tanga Tech.Kozi hii ni Sayansi
kwani chuo gani kinatoa?Mkuu kama hii kozi nzuri goja niapply but karo yao ndoo kubwa sana sijui around laki Tisa but nitakomaa tu
Kleruu teachers college chuo cha serikali kipo iringakwani chuo gani kinatoa?
Jumla na michango inafika laki Tisa mkuuAh!kumbe Kleruu,ada yao ndio unadai ni 900,000?labda 600,000
Naona huu uzi umekuwa kama wa watu wawili tu!!Jumla na michango inafika laki Tisa mkuu
Samahani kidogo kwa aliyeelewa hapo palipoandikwa"kiwango cha Credit katika masomo mawili ya ufundi ikiwemo drawing,Hisabati,Engineering Science au Kemia,Je,masomo ya ufundi yanayozungumziwa hapo ni hayo yaliyoorodheshwa hapo au ni yale yanayofundishwa katika shule za ufundi kama vile Surveying na Building construction?Utakua mwalimu wa vyuo vya ufundi eg veta etc.
Soma hio kozi itakua hotcake 2020 na kuendelea, nilisikia serikali itafungua veta kila wilaya