MONA WA KYEN
JF-Expert Member
- Dec 23, 2016
- 340
- 271
Naam!
Nadhani Yanga SC sio klabu ya kwanza kuikatia rufaa klabu pinzani.
Umeeleza vyema sana hapo kwa Real Madrid.
Kuenenda kinyume na Kanuni (Deliberately) si uungwana kabisa kwenye mchezo wa soka.
Acha vyombo husika vitoe hukumu! Chochote kitakacho amuliwa kulingana na Taratibu ndicho kitakachokuwa muafaka.
UMEELEWEKA MKUU