Recent content by daby mouser

  1. D

    Msaad kwenye tuta: Duty taxes wanazotozwa wanoingiza cement kutoka Mashariki ya Mbali

    Wadau nilikuwa naomba kujua rates za Duty taxes and other charges wanazotozwa makampuni binafsi yanayoingiza cement kutoka nje pale bandarini..Msaada wenu utasaidia sana.Nitangulize shukrani zangu za dhati kabla ya yote.
  2. D

    Job: Programmmer is needed

    Nahitaji programmer mwenye uwezo wa kutengeneza systems na softwares zenye uwezo wa kuintegrate na Electonic devices kama wearable devices plus mobile smart-phones.. If you think you have competitive skills runned with innovation esteem drop your cv on aituneltd@gmail.com attach na projects...
  3. D

    Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

    Wakuu kwa wale wanaohitaji mchango wangu wa mawazo tafadhali tutafutane kupitia dabymouser@gmail.com..naona PM ni nyingi ila kutokana na kukosa mda wa kuingia humu ndani mara kwa mara nachelea kuzijibu ndani ya mda.
  4. D

    Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

    Shukrani mkuu tupo pamoja..Tuache kupumzika na vismartphone vyetu nyumbani tutoke fursa zipo nyingi sana mtaani..
  5. D

    Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

    Hakuna changamoto yoyote hapo mkuu..kama utajitolea akili muda na nishati ya mwili wako,vyote nilivyotaja vinawezekana..hizo stadi ni nyepesi sana Binafsi ninazo mia moja(100) stadi za kutengeneza vitu tofaut ni rahisi na hazina gharama Nafikiria kuanzisha thread humu ndani itakayokuwa...
  6. D

    Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

    Hahah tutafika tu..vijana ndo jukumu letu kuhakikisha hilo linatokea.
  7. D

    Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

    Tupo pamoja mkuu usisite kurudi hapa na kutueleza maendeleo yako baada ya miezi angalau mitatu. Inabidi uwe komandoo wa biashara achana na mtu anaekueleza you can not make millions without millions..trust me even 30000 can turn you into a millionaire... Changamoto kubwa ni kuwa innovative...
  8. D

    Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

    hahaha watanzania sisi ni wabinafsi sana...tunasahau kwamba ILI UPATE INABIDI UTOE
  9. D

    Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

    Laki 8 ni nyingi sana kama unajicho pevu la tatu la kuziona fursa,binafsi nishaanzaga na mtaji wa Tsh40000(elfu arubain tu) right now nina ROI ya 7m kama faida every two weeks ni ngumu kuamini but thats it..anyway nisikuchoshe Tafuta washing machine with dry cleaning system, used atleast...
  10. D

    USHAURI; Unawezaje Kuepuka Hofu Ya Kushindwa Unapotaka Kufanya Jambo Jipya?

    mkuu ubarikwe sana kwa msaada wako uliutoa..Kiukweli katika projects zangu zote za kibiashara nilizofanya na ninazo endelea kufanya ukiachilia mbali kikwazo cha Mtaji kikwazo kingine ambacho nimekuwa nikipambana nacho ni HOFU YA KUSHINDWA hasa katika utekelezaji..Nimekutana na Wanaokatisha...
  11. D

    Msichana wa kazi za ndani anahitajika

    Wasiliana na huyu 0719557908 Anaitwa Aloyce..Atakusaidia ni Agent wa wafanyakazi.
  12. D

    The returns of Jack Bauer in 24 Live Another Day

    wakuu kickass.to naweza kudownload movies bure?
  13. D

    The returns of Jack Bauer in 24 Live Another Day

    kamanda kickass.to naweza kudownload movies bure??
Back
Top Bottom