Habari wana JF?
Anahitajika mdada wa kazi za ndani hapa Dar es Salaam.
Majukumu yake ni kufanya usafi maeneo ya nyumbani na kupika. maji yapo nyumbani, ikitokea dharula hayafiki hua yanachotwa kwa gari, hakuna mtoto mdogo, eneo la kazi ni mtoni kijichi, pia muhusika atachukuliwa kama sehem ya mwanafamilia.
Kwa mwenye ndugu au jamaa aliye tayari kwa kazi hii kwa malipo ya elfu 40, tuwasiliane. kama anatoka mkoani, ataghalimiwa usafiri na bosi wake.
Anahitajika mdada wa kazi za ndani hapa Dar es Salaam.
Majukumu yake ni kufanya usafi maeneo ya nyumbani na kupika. maji yapo nyumbani, ikitokea dharula hayafiki hua yanachotwa kwa gari, hakuna mtoto mdogo, eneo la kazi ni mtoni kijichi, pia muhusika atachukuliwa kama sehem ya mwanafamilia.
Kwa mwenye ndugu au jamaa aliye tayari kwa kazi hii kwa malipo ya elfu 40, tuwasiliane. kama anatoka mkoani, ataghalimiwa usafiri na bosi wake.