Recent content by Da jua

  1. Da jua

    Jinsi ya kujiponya maumivu kwa nguvu ya ubongo (Subconscious Mind) By Rakims

    Nina shida na chunusi sugu usoni kwa mbinu hii zinaweza pona?
  2. Da jua

    Kwa wale wenye "MAJINI" vichwani au pembeni yao

    Si kwamba hamjui kiswahili ila hata akiki zenu zinafanya kazi kwa kiwango kidogo sana...... Si kwa utaahira huuu.....nyie kabila gani hata msielewe kinachosemwa kwenye aya hizo
  3. Da jua

    Jinsi ya kutoka nje ya mwili (Astral Projection)

    Vip inakuwaje kupiga msuli ukiwa kwenye hali hiyo na ukawa na uwelewa mkubwa wa masomo au kijifunza teknoligia yoyote mfano komputa au mapishi Naomba namba ya hilo group
  4. Da jua

    Jinsi ya kutoka nje ya mwili (Astral Projection)

    Kwanin kalami nyeusi na nyekundi
  5. Da jua

    Mradi wa Ufugaji wa ng'ombe

    Mradi wako ulifikia wapi
  6. Da jua

    Biashara ya Dagaa: Mjadala wa Uendeshaji, Masoko, Faida, Hasara na Changamoto zake

    Uongo unapunguza uaminifu ila kama hauna madhara, vizur
  7. Da jua

    Biashara ya Dagaa: Mjadala wa Uendeshaji, Masoko, Faida, Hasara na Changamoto zake

    Kuna mahali umesema hii biashara ni ya Mzee na kaka yako sasa lipi ni lipi
  8. Da jua

    Chakula cha kuku - dagaa toka Kanda ya Ziwa

    Unauzaje daagaa kwa kilo
  9. Da jua

    BAKWATA tusaidieni kwa hili? Kamata kamata imezidi

    Unaakil sana hamna muislam wa namna hiyo jaman Mbona mnatudhoo fisha sisi waislam wengine
  10. Da jua

    African Refugees Say Arab Muslims More Racist than Europeans

    Mi muislam ila waarabu wanaroho mbaya pamoja na kuwa na dini swafi sijui tatizo ni nin
  11. Da jua

    Jinsi ya kuondoa madoa na mabaka mwilini

    Atumie isotretinoin vidonge
  12. Da jua

    Siamini kama nimepona vidonda vya tumbo....

    Inauzwa bei gani? Nipe namba za msambazaji
Back
Top Bottom