Recent content by D 2de A

  1. D

    GE2020 Agnesta Lambert (CHADEMA): Kete ya ushindi/mpasuko Segerea

    Wakati joto la uchaguzi mkuu likizidi kupanda, matumbo ya waliopendekezwa na mikutano mikuu ya majimbo na kata nayo yanazidi kupata moto. Ni siku kadhaa zimepita tangu mchakato wa kura za maoni ndani ya vyama utamatishwe kwa majina kupelekwa Kamati tendaji za wilaya (kwa madiwani) na Kamati Kuu...
  2. D

    Njia za asili za kukuza uume

    Mbona mm nimejaribu nikahisi mazingira ya kuharibu kazi nikaachia mbali
  3. D

    Kiukweli huwa sipendi usafiri wa ndege basi tu

    Hakuna vita ngumukwangu kuahinda kama kuushawishi moyo wangu kukubaliana na safari za majini...#Meli ....boti....eeeeh maa wee bora ndege baba....kifo cha maji sitaki nacho mazoea
  4. D

    Uchaguzi S/Mitaa: Maiti imeguna baada ya mume mtalaka kuhudhuria mazishi!

    maiti imeguna! ha ha ha una kipaji chakunakshi vichwa vya habari vya magazeti
  5. D

    NACTE wanasajili vyuo vinavyo-offer degree au tumeibiwa?

    Yewomi hujasema kweli hapo.....sie ndio wakwanza pale chuoni campus ya arusha
  6. D

    NACTE wanasajili vyuo vinavyo-offer degree au tumeibiwa?

    Anko inaonekana huelewi kama mimi tuu, mtu anakuambia aliomba chuo kupitia CAS ya TCU na majina yakatolewa na TCU but Chuo kimesajiliwa na NACTE so mi nakushangaa unashindwa kunipa mchanganuo huku unadai mm napiga siasa! We are a educators or scholars so we have to research detailed and make...
  7. D

    NACTE wanasajili vyuo vinavyo-offer degree au tumeibiwa?

    soma maneno chini mwisho chuo kimesajiliwa kutoa primary education!!!
  8. D

    NACTE wanasajili vyuo vinavyo-offer degree au tumeibiwa?

    Wasi wasi wangu ni kwamba sisi tuliomba as form six leaver kupitia TCU but wakati tunaendelea na masomo tukagundua chuo hakipo kwenye list ya vyuo vikuu vinavyotambulika nakusajiliwa na TCU. Tulipojaribu kufuatilia utawala wa chuo na TCU walikuwa na jibu moja kuwa chuo kipo nakimesajiliwa na...
  9. D

    Hali tete kwa wanafunzi kitivo cha ualimu St.joseph university

    hapo km unadadaako ujue hata km hakuwa na tabia mbaya yaeeza ikazuka km kimbunga! chezea njaaa, chezea kudaiwa kodi wewe!
  10. D

    NACTE wanasajili vyuo vinavyo-offer degree au tumeibiwa?

    Ndugu zanguni Chonde chonde nisaidieni katika hili... Naomba kujua kama NACTE wanaweza kusajili chuo kikuu kinachotoa degree, kwani katika kuperuzi website yao nimeona chuo kikuu cha ST. JOSEPH UNIVERSITY CAMPUS ambacho kwa taarifa zauhakika kinatoa degree 3yrs and 5yrs programe ila nimekiona...
Back
Top Bottom