Recent content by cyrilkomba

  1. C

    AJALI: Msafara wa Prof. Muhongo wapata ajali

    Muhongo ni mtu sahihi kwenye hiyo wizara tumpe muda....
  2. C

    Rais Kikwete anavunja Baraza la Mawaziri lini?

    Kwa mujibu wa katiba raisi bado yuko sahihi kutovunja baraza la mawaziri maana hajaambiwa muda maalumu angalia hiyo (f)Ukiwadia wakati wa Rais mteule kushika madaraka ya rais basi mara tu kabla rais mteule hajashika madaraka hayo; So inaweza kuwa hata siku moja kabla hata raisi mteule...
  3. C

    Nyimbo za Komba zinapigwa CCM, Familia ya Komba inakufa Masikini

    Ninavyoelewa mimi tanzania one theathre (tot) ni bendi ya ccm na komba alikuwa mwajiriwa pale tot chini ya ccm so far wenye hati miliki ya nyimbo ni wenye bendi ambao ni ccm. Kama ccm wenyewe ndiyo wanatumia nyimbo haina shida ila kama zinatumika na watu tofauti na kwa matumizi yasiyo ihusu ccm...
  4. C

    Uhusiano wa ajira za ualimu Vyuo Vikuu, TCU na GPA za SUA

    THERE IS NO MUCCOBS SIKU HIZI PLEASE.......MoCU=MOSHI CO-OPERATIVE UNIVERSITY SINCE LAST YEAR NA MKUU WA CHUO NI MH. PIUSI MSEKWA....!
  5. C

    Filikunjombe aonyesha wabunge watavuna walichopanda, aandaliwa ibada rasmi

    Sawa namkubali filikunjombe ila katika hizo sifa zimetajwa hapo zote ni za ufadhiri tu na hii ni notion ya wananchi wengi tanzania huwa wanachagua wafadhiri na siyo wasimamizi wazuri wa serikali.....nilitegemea wangesema amesimamia serikali na mambo yaliyotekelezwa...!
  6. C

    Mdahalo wa Watangaza nia CCM: Live on Azam TV

    Hapo ndipo muandaaji anaponiacha hoi na kujua kuwa ana ajenda ya siri ukawa utakuwa ni mdahalo au mahojiano...? Mdahalo kati ya nani na nani...? So far tunajua hadi sasa ukawa hakuna aliyetangaza nia hadi sasa....zaidi ya lipumba....!
  7. C

    Nitasema: Viingilio midahalo ya Wagombea nao ni wizi tu

    Hii ni opportunity wacha waitumie waandaaaji....! Kwa hakika wanajua kuwa ili washangiliwe wagombea watahitaji watu so automatically watawalipia kujaza ukumbi.......kwa hiari ukumbi hautaweza kujaa....! Vinginevyo mdahalo huu kwa stage hii ni ubatili mtupu...!
  8. C

    Zitto amrushia 'kijembe' Prof. Muhongo

    PROF. MUHONGO AMENIKUMBUSHA ULE WIMBO WA PROFESSOR MWENZAKE JOSEPH HAULE aka PROFESSOR J. WIMBO: "NDIYO MZEE"
  9. C

    Yaliyojiri Mwitongo, kutangaza kuwania urais kwa Makongoro Nyerere

    "nilidhani tanzania kuna kichaa mmoja tu naye ni "......mkjk......."....kumbe wako wengi na wamempigia kura ya ubunge kule arusha.........! J.k nyerere, 1995.
  10. C

    PPF Waanza kuita watu

    usipotoke wala usipotoshe muda ni saa mbili asubuhi labda kama kuna makundi tofauti
  11. C

    Temeke mtuazime Mbunge wenu walau kwa miaka mitano tu

    so mbunge alitoa hela yake mfukoni kujenga barabara...! Dah elimu uraia na kujitambua inahitajika sana tz..
  12. C

    Madereva wasitisha mgomo: Kero zao kutatuliwa ndani ya siku 7

    I if you were my student that is one of the right and correct answer.....!
  13. C

    CHADEMA kuasisi mgomo wa madereva ni kwa manufaa ya nani?

    madereva wana point ya ku argue hapo msikae kuleta siasa tu hebu fikiri wewe unayesoma mjadla huu kama umeajiriiwa halafu mwajiri wako hajakuweka kwenye pensionable contract au hata mshahara hakupi but posho ungefurahi? Ni wakati muafaka wa kubadilika..!
  14. C

    Askofu Pengo: Nasumbuliwa na uti wa mgongo, Watanzania Chagueni Rais fukara

    I never support and I will never do it having a poor president.....mwisho wa siku atahitaji ku accumulate ili awe tajiri we better have a well off president atakaye piga hela with limitations kwamba yyee ni tajari..
  15. C

    Mbunge wa Ludewa, Filikunjombe atishia kumchapa viboko diwani

    Politics diwani alisahau moja ya kazi zake ni resource mobilization....
Back
Top Bottom