Recent content by CYPRIAN MKALI

  1. CYPRIAN MKALI

    Wanawake au wanaume waliowahi kutongozwa na wasagaji/Mashoga watoe ushuhuda humu

    Mh! Huyo itakuwa ni shoga before this.. Mi naona ndio inafundisha, usipoelewa haya unaweza zoeana na mashoga bila kujua. Huwa hawafunguki kirahisi
  2. CYPRIAN MKALI

    Udhaifu wa marais unawapa umwamba sampuli za akina Mwigulu Nchemba

    Mambo mengine yanafikirisha sana, nilidhani wamejifunza kwa yule aliyekuwa anatamba na digrii zake nne kwa wajumbe.
  3. CYPRIAN MKALI

    My Ex Wife anateseka sana, nifanyeje?

    Acha wanawake waitwe wanawake! Kuna star niliwahi msikia anasema ana mtaka mwanaume ambaye akikosea anasimama kama mwanaume, sio yule ambaye ana shindwa mrekebisha anapokosea. Ko' unaweza ona jamaa mkatili kumbe wife wake ana enjoy na kumuona ni gentleman, usidhani kuwa kimya all the time ndio...
  4. CYPRIAN MKALI

    Mke wa mtu naomba uniache jamani. Kwani mimi ndio mwanaume pekee yangu?

    Dah! Upo vizuri mi nasubiri ila kuna makosa madogo madogo utakuwa kama Shigongo.
  5. CYPRIAN MKALI

    GE2020 Mbinu za Zitto Kabwe na siasa za Urais (2020)

    We mganga wa kienyeji au vipi! Mbona huna analysis ya kitaalamu, mi naona Ramli tu hapa. Anyway, basi sawa.
  6. CYPRIAN MKALI

    Ukisoma haya maoni unaweza kudhani kuna Zitto Kabwe wawili duniani!

    Zitto ni akili kubwa sana kwa mtu kama wewe kumuelewa. Kuna njia nyingi za kufanya mikutano wakati wa majanga kama haya, hivyo sio kosa lako lakini.
  7. CYPRIAN MKALI

    Unamuwaza asiye kuwazia: Kwanini uteseke na mtu mmoja ambaye hana mpango nawe?

    Maisha ni vile unavyojichukulia, ukiruhusu kulia lia hovyo utalizwa kweli mpaka na watoto wadogo. Mahusiano bora lazima yawe ni two ways traffic, sio unapeenda wala unayempenda hashituki naye aoneshe appreciation. Tupa kule atakusumbua mpka ukome, bora pengo kuliko Juno bovu.
  8. CYPRIAN MKALI

    Ulianzaje kukaa gheto?

    Mi nilipo maliza form six niliingia kitaa ile direct from school hapo nilikuwa na elfu 10 nimeuza scientific calculator yangu home mother ana chumba kimoja amepanga. Ila mzee alikuwa ana nyumba mkoa mwingine wameshatengana hivyo niliamua nikomae nimsaidie mother. Nililipa chumba 5,000 mwezi...
  9. CYPRIAN MKALI

    Kamwe usimwamini mwanamke!.

    Umeona eeeh!
  10. CYPRIAN MKALI

    Mzazi unapokua na mwanao wa kike, yuko form 2 au form 3 alafu ana simu unadhani hua anafanya mawasiliano gani?

    Asante umetumbua macho, ingawa ukweli wako ni mchungu kwetu sisi wazazi. Dah! Ila pia ukumbuke za mwizi arobaini, we endelea kuichezea serikali makali. Siku zako za kuendelea kuishi mtaani ni chache sana, Huna tofauti na jambazi anayetumia silaha adhabu zenu ukijakamatwa. Acha Huo mchezo mchafu...
  11. CYPRIAN MKALI

    Naomba Ushauri: Nimejikuta nimeoa mke aliyepitiwa na wengi

    Ulichokuwa una kitafuta umekipata, unaanzaje kumuuliza Watu wote aliotoka nao? Kuna uhusiano gani kati ya mapenzi yenu na hiyo Historia yake. Basi nenda kamtafute bikra kwenye hodi ya wazazi ndio umuoe, Yani 10 TU! Mbona hapo Bado amekudanganya, hajakutajia na boss wake hapo anapofanyia kazi 😂😂😂😂😂
  12. CYPRIAN MKALI

    TAFITI : WANAWAKE HUPENDA MARA MMOJA TU KATIKA MAISHA YAO.

    Wengi wanapenda kipindi wanatolewa bikra, bikra hutolewa wakiwa wadogo sana. Hii ina Maana wengi wao hawana mapenzi kwenye ndoa zao.
  13. CYPRIAN MKALI

    Wazee wetu mapenzi hayakuwatesa kwa sababu hii!

    Kizuri kula na jirani yako 🤔🤔🤔🤔🤝🏻
Back
Top Bottom