Kamwe usimwamini mwanamke!.

Kamwe usimwamini mwanamke!.

Ndugu zangu (me) kamwe usimwamini mwanamke yeyote zaidi ya mama ako mzazi!! hata kama ni mzur kiasi gani,haijalishi anakupikia birian au lah!

Unaweza jitoa kwa moyo wako wote,unaweza kushindia mihogo na maji yy akala chips kuku lkn mwishowe akakusaliti na kukufanyia unyama wa ajabu! Hebu jiulize swala dogo tu!

Kama anaweza kutoa mimba au kutelekeza kichanga cha Mwenyezi Mungu jalalani ww n nani haswa akuache!

Hawa viumbe hawaeleweki! Mwanamke unaekutana nae wakati keshaota meno 32 anaweza kukufanyia lolote na kwa wakatiwowote! Usimchekee sababu sio mama ako mzazi!

Wanaume wenzangu mtanielewa ila wavulana siwalazimishi kunielewa.Mwanamke unaemuweka ndani na kumpa siri zako zote ndo adui ako mkubwa kesho!

Hawa viumbe wametumwa kutuangamiza!
Teyar mkuu keshafanya yakeinaonekana uliingia miguu yote wenzio tunaingia miguu yote mdomoni moyoni kuko giza totolo hakuna upendo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hata vitabu vya dini vinatuambia kwamba mwanamke ni kiumbe dhaifu, naanzaje kumwamini

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nakuonya Mwanamke si kiumbe dhaifu hata siku moja, wewe mdharau uone unakufa maskini, hivi Delila na Samson, Bill Clinton na Monica, Father Abraham na ***** Ishmail. usisahau Adam baba lao, alivofanyiwa na Eve, unawajua huwajuia?

Leo tunapigika sababu ya Mwanamke, tungekuwa tunakula, kunywa, nauri, kulala Bure,

usiwachukulie poa hao viumbe ukitaka kufaidi hapa uwe mjinga mjanja! ona km huoni vile! vitabu vya Dini hivyo ni vya mapokeo tu, soma original, uone mambo!

Usimwamini Binadamu yeyote hata baba yako mzazi, ila wapende wote!
 
Another victim
tapatalk_1577093906393.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom