MsemajiUkweli
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 13,171
- 23,975
- Thread starter
- #81
Zitto ni kama anatoa matamko ya "kutegesha"!Mkuu MsemajiUkweli si kweli kwamba kwa jinsi na namna Rais Magufuli, mwanasayansi, anavyoendesha siasa Tanzania imewaweka wanasiasa katika wakati mgumu wa kutokujua waseme na watende nini?