Recent content by Cybergates

  1. Cybergates

    Unahisi ungefanya kazi ipi kama ungeikosa hiyo uliyonayo sasa?

    Bonge la stand-up comedian
  2. Cybergates

    Hosting ni expensive sana

    Nisha toka huko mkuu, situmii PHP au wordpress
  3. Cybergates

    Vibonzo vya Capitalism na Socialism

    Inafikirisha sana
  4. Cybergates

    Backdoor: Watumiaji wa linux distribution sasa tumefikiwa

    Mkuu xz ni utility library, kama ilivyo time & date, rkhunter kwa sasa haina huo uwezo
  5. Cybergates

    Backdoor: Watumiaji wa linux distribution sasa tumefikiwa

    Sio mimi mkuu, hii ni picha ya mdau alipost, currently kwangu ni 5.4.*
  6. Cybergates

    New Backend: Python + Cpp , Kama security na speed ni kipaumbele chako

    Structure zinafanana sana, ukiangalia mara ya kwana unaweza kudhani zote ni project za flask Sema FastAPI ime base sana kwenye API
  7. Cybergates

    New Backend: Python + Cpp , Kama security na speed ni kipaumbele chako

    Watu wengi wanapenda vitu simple, Mambo ya kutumia akili hawapendi Hii ni side project, nafanya mwenyewe. Mda nikiwa nimechoka ivi FastApi
  8. Cybergates

    New Backend: Python + Cpp , Kama security na speed ni kipaumbele chako

    Go kwenye hasa kwenye api watu wanasema ipo vizuri sana. Unatumia Frontend gani?, Niliona article online ya GO na flutter Japo sijawahi kuitumia kabisa, hata ku install
  9. Cybergates

    New Backend: Python + Cpp , Kama security na speed ni kipaumbele chako

    Hasa kwa complex project Mda sasa nimekua nikitumia python kama primary PL Moja ya sida kubwa sana ni speed, aise python ni tabu sana Leo nimeanza kufanya project ambayo natumia python na cpp backend. Python natumia ku fanya API endpoints wakati c++ natumia kufanya business logic na...
  10. Cybergates

    Backdoor: Watumiaji wa linux distribution sasa tumefikiwa

    Sijaelewa sana ulicho maanisha. Kifupi ni kwamba kernal inaong'anisha OS na Hardware Maelezo zaidi hapa https://www.geeksforgeeks.org/the-linux-kernel/
  11. Cybergates

    Backdoor: Watumiaji wa linux distribution sasa tumefikiwa

    Kuna rafiki yangu huwa ananiambia "errors happen"
  12. Cybergates

    Backdoor: Watumiaji wa linux distribution sasa tumefikiwa

    Swali gumu. Mimi binafsi huwa naamini hamna ufanisi kwenye kujitolea (Kufanya kazi bila malipo) Mfano, Hii backdoor kabla haijawa pushed kwenye codebase ya RHEL, security engineers wa RH walikua wana jaribu ku fix bug zilizo sababishwa na na hii package, baada ya mda research wa RH walikuja...
  13. Cybergates

    Backdoor: Watumiaji wa linux distribution sasa tumefikiwa

    Mkuu, huyu ali push backdoor kwenye codebase (kernal yenyewe) ya linux kabisa kupitia package ya xz Haijalishi unatumia kali, ubuntu, mac etc. Kama engine ya distribution yoyote inatumia lunux tulikua tunaweza kuwa hacked, Mfano asinge kundulika 90% server zote duniani zingekua hacked, kama...
Back
Top Bottom