Go kwenye hasa kwenye api watu wanasema ipo vizuri sana.
Unatumia Frontend gani?, Niliona article online ya GO na flutter
Japo sijawahi kuitumia kabisa, hata ku install
Hasa kwa complex project
Mda sasa nimekua nikitumia python kama primary PL
Moja ya sida kubwa sana ni speed, aise python ni tabu sana
Leo nimeanza kufanya project ambayo natumia python na cpp backend.
Python natumia ku fanya API endpoints wakati c++ natumia kufanya business logic na...
Sijaelewa sana ulicho maanisha. Kifupi ni kwamba kernal inaong'anisha OS na Hardware
Maelezo zaidi hapa
https://www.geeksforgeeks.org/the-linux-kernel/
Swali gumu. Mimi binafsi huwa naamini hamna ufanisi kwenye kujitolea (Kufanya kazi bila malipo)
Mfano, Hii backdoor kabla haijawa pushed kwenye codebase ya RHEL, security engineers wa RH walikua wana jaribu ku fix bug zilizo sababishwa na na hii package, baada ya mda research wa RH walikuja...
Mkuu, huyu ali push backdoor kwenye codebase (kernal yenyewe) ya linux kabisa kupitia package ya xz
Haijalishi unatumia kali, ubuntu, mac etc. Kama engine ya distribution yoyote inatumia lunux tulikua tunaweza kuwa hacked,
Mfano asinge kundulika 90% server zote duniani zingekua hacked, kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.