Recent content by cuth_luxy

  1. cuth_luxy

    Ni heri umkose mwanamke kuliko kumwambia unafanya kazi gani unapomtongoza

    Eeeeh umeweka wazi kabisa kwamba hiyo inasaidia kwenye makadirio yako ya kutakatisha feza
  2. cuth_luxy

    Ni heri umkose mwanamke kuliko kumwambia unafanya kazi gani unapomtongoza

    Unapigwa kizinga kimoja kitakatifu mpaka utaomba emoji zibadilike ziwekewe nywele za viduku
  3. cuth_luxy

    Ni heri umkose mwanamke kuliko kumwambia unafanya kazi gani unapomtongoza

    Ishu ni kwamba at the 1st day unanza ulizia kazi yake, just kuwa calm kama ukiwa mwandani wake vizuri lazima utajua tu shughuli anazofanya kuingiza kipato chake! Na mara nyingi swali hilo mkiulizwa nyie wanawake huwa mnaona kama mmetukanwa!
  4. cuth_luxy

    Ni heri umkose mwanamke kuliko kumwambia unafanya kazi gani unapomtongoza

    Mimi huwa nawambia kazi yangu ni UVUVI, ajisikie amani kunita MVUVI ... Kama anakula mayai aniite FISHER MAN.[emoji41][emoji41][emoji41]
  5. cuth_luxy

    Ni heri umkose mwanamke kuliko kumwambia unafanya kazi gani unapomtongoza

    Soo jambazi huwa anajitambulisha kirahisi tu kuwa ni jambazi... Tatizo wanawake mmezoea sana kudanganywa ndo mana mnatuuliza hayo maswali automatically unajitengenezea mazingira ya kudanganywa! Pata picha mtu hata ndugu zake wa damu hawajui anafanya kazi gani halafu unahisi kirahisi rahisi tu...
  6. cuth_luxy

    Jinsi nilivyoongea na viumbe wa ajabu

    Tatizo wewe mwenyewe ndo unazingua! Shusha mzigo wako hapo wa safari yako ataeamini sawa asieamini atalala mbele...
  7. cuth_luxy

    Jinsi nilivyoongea na viumbe wa ajabu

    Utasababisha watu wapasuke vichwa
  8. cuth_luxy

    Jinsi nilivyoongea na viumbe wa ajabu

    Wacha tuone hizo formula zake
  9. cuth_luxy

    Jinsi nilivyoongea na viumbe wa ajabu

    Miaka yote hiyo yeye imemsaidia nini hizo formula! Ameona karibia anakufa na corona ndo anakuja kutuokota na hadith yake
  10. cuth_luxy

    Jinsi nilivyoongea na viumbe wa ajabu

    Ila tangu mwaka wa 90 mpka sasa [emoji275]
  11. cuth_luxy

    Between your legs!

    Play Boy - Between your legs
  12. cuth_luxy

    Nini maana ya kantangaze?

    Hawajielewi!!! Mm huo msemo unaniboa kichiz... Dawa yao unakamata unapiga pipe then akajitangaze mwenyewe na kipapuch chake
  13. cuth_luxy

    Kanjanja

    Wadau wa lugha, ivi hili neno ni msamiati rasmi ama ni neno lililoibuka tu kuwatambulisha waandishi wazamiaji au linaweza kutumika kwa mtu yeyote?
  14. cuth_luxy

    Wivu unavyoshusha hadhi mbele ya mpenzi wako

    Watu wengi sana wamekuwa wakidhani kwamba ukiwa na wivu katika mahusiano basi ni ishara ama ni alama mojawapo ya pekee kumuonesha umpendae kuwa una mapenzi ya dhati sana kwake. Sawa ni kweli yaweza kuwa unamaana hiyo, lakini kwa kwa upande mwingine unaweza ukawa unatengeneza picha yenye maana...
Back
Top Bottom