Fungua acc. bank , jaribu kulinganisha aina mbalimbali, mfano, CRDB, NMB, ...nk.uone ipi ina unafuu,
Pia fungua acc ambayo ni fixed, au zile acc zenye tufaida japo kidogo,
Tembelea matawi ya bank..watakushauri vizur
Sent using Jamii Forums mobile app