Recent content by cute1

  1. C

    Tundu Lissu ameanza kuishi kwa uwongo na udanganyifu!!

    naheshim mawazo yako. hata mim nimeliona hilo but inafika mda lazima twende kw stail km hio wanayoitaka ukawa ili lengo tu la kuondoa aduu litimie then baadae kila kitu kitajiset kulingana na matukio nafas hii ni pekee kw upubzan ba wapebda Mabadiliko wakikisa urais hata serikal y umioja iungwe...
  2. C

    Aina za rangi za "pichu" za mwanamke na maana zake kwa mwanaume

    Hahaaaa Hahaaaa. jmanii mtavunja mbavu zetuu
  3. C

    Mohamed Said: Zanzibar ni nchi ya Kiislamu, Bara Kikristo

    namkubali said mohaned.... sio kma shivji leo anaongea hivi kesho vile hana tofaur na rais kikwetee
  4. C

    Lengo la waziri wa JK kubadili dini ni nini?

    mungu ni mmoja tu wew aliemnadi yesu unaongelea mungu kabla yesu ... jamani hizi akili nyingine za kushikiwa aiseee. yesu tayar alijua kuna bwaba zaid yake na ndio hapo akawa mtiifu kumtukuza bwana wake ila kw kutoelewa unamwita yeye bwana nioneshe kwenye injili wapi alijiita bwana au ni mungu?
  5. C

    Nahitaji kuoa anybody serious

    vry sory for that . im intrested so explain abt ur origin n reliogion pleas!!!!
  6. C

    Kadhi's court: A voice from a Muslim woman

    Uislam hauhitaji vijcent vyako wew machinga hem uliza uwambiwe kwani hii ni christo maamuzi yatoke room yatekelezwa tanganyika .... jitmbue wew
  7. C

    Msaada wa ushauri biashara gani hasa nifanye kwa 30m capital

    hapo pharmacyy mi nakupa % 100 za kufanikisha dont hasitate broo. nilikua nakujia huko but nimeshindwa how tu staat.
  8. C

    Msaada wa ushauri biashara gani hasa nifanye kwa 30m capital

    habar sitopenda kuongea saana but napenda kukushauri uwekeze upande wa afya mean matibabu yaaani u cant believ it . tena locate sehemu ya nje kidogo mbayo utahisi sekta hiio inaahitajikaa. if u r intrest with this text me private i will gve u maujanjaa.....
  9. C

    Jukwaa La Katiba: Zakia Meghji alipiga kura kama Mjumbe wa Zanzibar

    shida sio utaifa wake mean uzanzibar au utanganyoka but je aliteuliwa kuingia bungeni kutoka kundi lipi? na kutokea upande upi? kwani hata balozi seif iddi ni mtanganyikaa but aliteuliwa km ni mzanzibar nae akafabya hivyooo.
  10. C

    Wanaotaka kuandamana kesho HESLB soma hapa

    jamaani office za heslb ziko wapi ?? nami nataka niiungame na wenzangu wa not secured.??
  11. C

    Maalim Seif: Mamlaka kamili ya Zanzibar yanakuja awatoa hofu Wazanzibari

    basi atarajie poshoo la ubungeee hats wakuteuliwaa
  12. C

    Maalim Seif: Mamlaka kamili ya Zanzibar yanakuja awatoa hofu Wazanzibari

    kama wewe mtz bara unajitetea vipi? mwenzio ndio amejitetea kw kushangaa ... wewe jeeeee??? mañaa usiwe bingwaaa wa kupangua tuu uwezee pia kujilindaaa
  13. C

    Maalim Seif: Mamlaka kamili ya Zanzibar yanakuja awatoa hofu Wazanzibari

    wew kaka bora unyamaze maana unaitukanisha ccm na wakuu wake mkapa mku---ndu--- wazi anasota anaomba apewe nchii kabembelezaaa kashindwa mwishoo kstumia nguvuui. unajua ni kwa nini ? kutokana na mfumo huu wa sasa itakuaje serikal ya znz iwe cuf then bara ccm na hizi haziendiiii. hai ccm wanahaha...
  14. C

    Maalim Seif: Mamlaka kamili ya Zanzibar yanakuja awatoa hofu Wazanzibari

    hata watanganyika ni vibaraka tuuu wa ccm. pale tulimuona kessy akiongea na kuonyesha jinsi anavyoumwa na tanganyika hatimae etiii ndiiiooo alaaa hem tujiulize yupoo sawaa yeye . jeee kupiga kelele na kuamua or maamuz lipi lenye tijaaaa. so nyinyi wapeni nafasi kwetu kijasho kitawatokaaa hizo...
Back
Top Bottom