Lkn ndiyo mikoa ya watu wasomi na wenye upeo wa juu wa maisha, angalia utajiri wao, hakuna njaa wala wajinga na haiwezi kuwa na level sawa na mkoa wako we nenda kaoe/kaolewe na unaofanana nao ....mwisho nikusihi mfundishe nduguyo kuandika, ona alivyokuabisha.
Wakuu naomba kufahamu ile amri iliyotolewa na polisi ilikuwa ni matakwa ya sheria au mapenzi binafsi na utashi wa aliyetoa ile amri?
Kama ni kisheria kwann imetenguliwa?
Kama ni utashi wa askari je ilikuwa na uhalali wowote?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.