Recent content by cute me

  1. C

    Ameniorodhoshea mahitaji mengi utafikiri mimi ni babaake

    Me pia natumia hiii tech kufukuza ving'ang'anizi
  2. C

    Siyo kila mzazi anayeachiwa malezi ya mtoto peke yake katelekezewa makusudi, hapana

    Tulia km mwezi hv uculize Tena mambo ya shule nyamaza kmy ,we ukiwajulia Hali ongea mambo mengine kbs ,baada ya amani kurudi mwambie unataka kwenda kwao kutoa posa [emoji4][emoji4][emoji4][emoji4] embu muoe dada wa watu mwaka wa Tano huuu kweli unamzungushazungusha tu weeee haupo serious.
  3. C

    Kumbukumbu nzuri kwenye maisha yangu(Baba yangu)

    Wanangu siku Moja watakuja kuandika this Khs baba Yao,huyu black mamba ana mapungufu mengi sana ila Kwa wanae humwambiii kitu kwakweli anajitoa mpk tone lake la mwisho ,najiona nimefanikiwa sana kuwapa wanangu baba mwenye kuwapenda na kuwalinda at any cost.
  4. C

    Ninampenda sana ila kwa hili sifikirii kama nitaendelea kuwa nae

    Mm hata watano hawajafika , nadhani ni watatu ,bht yangu nilikutana na kijana mwema sana ,akaniweka ndani tangu hapo mwaka wa 7 huuu sijui mwanaume mwingine zaidi yake Kuna wkt ananiudhi natamani kumchet ila nashindwa nahisi cwez kukutana na mwanaume mwingine aiseeeee naogopa mno.
  5. C

    Nataka kuoa nesi au daktari, naombeni ushauri

    Unawajua bodaboda wewew [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] hao ndo wanaokula wamama wa nyumbani so hamna jema ndugu yangu ni kuomba Mungu tu
  6. C

    Nauli hizi za SGR nani atapanda? Kutoka Dar - Moro Tsh 24,000?

    Nakumbuka nilikuwepo kwenye uzinduzi wa ujenzi wa hiii reli,nakumbuka maneno ya hayati Magufuli, Alisema anataka reli hii iwasaidie wafanya biashara wadogo ,akatoa mfano wa mtu anatoa mchicha morogoro anakuja kuuza kariakoooo Kisha anarudi zake Moro, Sasa Kwa bei hiii kweli mm muuza mchicha...
  7. C

    NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Nenda tawi lolote lililo karibu na ww,akiwa na number yako ya NIDA watakupa fomu utajaza then watakuhamisha ,.
  8. C

    Wapendanao kuchokana, nini sababu hasa?

    Haki ya kupiga mbususu
  9. C

    Mambo 10 niliyojifunza Zanzibar

    Hili la kua taratibu,jmn jmn wazanzibar hawana hrk hlf wote they are very slow,cjui wanwezaje kwakweli!!!
  10. C

    Jengo refu kuliko yote Tanzania hadi mwaka 2022

    Kwaiyo huu Uzi ni kwaajili ya watu wa Dar tu,na je nyie watu wa Dar mnajua Kila jengo?[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]embu situbanie tupe picha
  11. C

    Ushauri: Nataka kumfanyia kijana wangu sherehe ndogo

    Kwa keki tamu na bei rahisi please krb malaika's bakery itafurahi
  12. C

    Msaada Mtoto wa Miezi Sita Anapata Shida Kupumua Usiku na Uzito Kutoongezeka

    Kwakweli madaktari wanalipua sana sana sana cjui tatizo ni nn jmn ,natamani km cku waulizwe Huwa yanawakuta yapi ni madaktari Wachache mno hufanya kazi Yao Kwa moyo
  13. C

    Msaada Mtoto wa Miezi Sita Anapata Shida Kupumua Usiku na Uzito Kutoongezeka

    Yes akampime moyo ,anashida ya moyo huyu mtt.km kifedha upo vzr kamuone kaguta Agakhani hospital ni Dr mzr sana wa wtt.
  14. C

    Tuliyaishi haya zamani yetu, sasa yamebaki kumbukumbu ya kuvutia kama si kuchekesha

    Huku kwetu mbagala tunajuana aiseeee mpk ata mtaaaa wa 7 poleni nyie wa mbezi beach wa kishua ndo maaana mambo mzr mnafanya kumbukizi tu ,kutokana na hyo list huku kwetu uswahilini bado sana tunayaishi
  15. C

    Ukigombana na Mkeo, akaenda kwao; USIENDE wala Usimtafute

    Kunywa soda nakuja kulipa,anafikiri wote mazoba km huyo anayemfuga apo nyumbani kwakwe
Back
Top Bottom