Recent content by cushite

  1. C

    JamiiForums Tanzania Total change of mindset

    nilichojifunza watu wajuaji wa mambo ni watu hovyo kwenye kutenda hicho wanachoongea au kukielezea. ni watu duni sana
  2. C

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Meru, Arusha: Kuna Mwalimu ni mvuta bangi na anauzia wanafunzi Bangi

    weed is just a plant man, waah gwaan wid it
  3. C

    JamiiForums Tanzania Kuota unadumbukia kwenye shimo lisilo na mwisho maana ake n nini ??

    inatokea mkojo ukikubana usingizini ubongo unakutisha ushtuke ili ukakojoe usije kukojoa kitandani
  4. C

    JamiiForums Tanzania Wasajili wa hati nchini wajipanga kwa matumizi ya TEHAMA

    Suala sio server kama hardware suala ni utaalam wa database design pamoja na masuala ya load balancing, database ikiwa tuned kitaalam system inakua fast, hawa wataalam wa serikali wana design system naku dump kwenye server bila utaalam wakufanya application iweze ku manage volume of requests.
  5. C

    JamiiForums Tanzania Hekalu la Job Ndugai kweli siasa inalipa, nimejiona masikini kweli

    lipa kodi kwa maendeleo ya nchi yako
  6. C

    JamiiForums Tanzania Godbless Lema, kikombe unachokitengeneza utakinywea

    inasaidia nini ukifa watu wakishangilia au wakihuzunika
  7. C

    JamiiForums Tanzania Mbowe kaamua kuchagua fedha na sio heshima

    Dr Slaa Mlim kejeli mkamuita msaliti mbona huyu mnaongea kwa kunong'oneza au ndio double standard
  8. C

    JamiiForums Tanzania GE2025 Aggrey Mwanri avunja wajumbe mbavu akiomba kura za maoni

    vijana mnatakiwa kujifunza kwa huyu mzee pamoja na wasira. kupambana bila kukata tamaa regardless ya umri
  9. C

    JamiiForums Tanzania Ipo haja ya kuwarithisha Vijana wetu na watoto wetu usomaji wa vitabu

    wafundishe mashairi ya bongo fleva
  10. C

    JamiiForums Tanzania Rafiki yangu kampa kadi ya benki mke wake na akipata mshahara wote anampa mkewe. Yuko sawa kweli?

    wanakuaga kama wale mbu wa usiku wanazunguka masikioni, hiyo ndio njia pekee kama unataka peace of mind
  11. C

    JamiiForums Tanzania Kipimo cha umasikini wa wafanyakazi wa serikali ni hiki hapa

    sio ungewaonea huruma wasio na ajira? mimi nimejiajiri sijioni kwamba ni mjanja naona ni bahati
  12. C

    JamiiForums Tanzania Kipimo cha umasikini wa wafanyakazi wa serikali ni hiki hapa

    Mzee wa majungu tumekusikia
  13. C

    JamiiForums Tanzania Upotoshaji mwingine wa Mathayo, safari hii kuhusu nyakati za mwisho za kusulubiwa

    Biblia ni hadithi za uongo sijui kwanini watu wanaamini
  14. C

    JamiiForums Tanzania Mbinu za kumfukuza kwako kijana aliyefikia umri wa kujitegemea

    Binafsi naona fahari kua na watoto nyumbani natamani waishi kwangu hadi na waume zao
  15. C

    JamiiForums Tanzania Wasajili wa hati nchini wajipanga kwa matumizi ya TEHAMA

    Serikali wanavijana wazuri kwenye TEHAMA shida bado hawana wataalam wa server. traffic kidogo tu server zinazidiwa. server za google zinatumika dunia nzima lakini ziko very fast.
Back
Top Bottom