ualimu unakosesha ndugu zetu wake
nina jamaa yangu wa ajira mpya nae kaachika juzi tu demu wake kamwambia kamwe hawezi ku olewa na "mwalimu"
na mshkaj mwingne kaambiwa na demu wake wazae tu mtoto mmoja kisa jamaa n hb so dem atapata mtoto mzuri, ila kuolewa na mwl marafik watamshangaaa!!
tayari umekwisha its too late u pass the way of no return!
ulichelewa kuomba ushauri pindi tu ulipo anza kumpiga sound..
kifuatacho itv ni kuhamia kwake na kutelekeza familia yako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.