Recent content by cure

  1. C

    Unaikumbuka sababu ya kuachana na mpenzi wako?

    ualimu unakosesha ndugu zetu wake nina jamaa yangu wa ajira mpya nae kaachika juzi tu demu wake kamwambia kamwe hawezi ku olewa na "mwalimu" na mshkaj mwingne kaambiwa na demu wake wazae tu mtoto mmoja kisa jamaa n hb so dem atapata mtoto mzuri, ila kuolewa na mwl marafik watamshangaaa!!
  2. C

    Sikia maajabu haya ya Mwalimu wa shule ya Kata

    kwanini hii lugha inanitesa hivi!!! WHERE DOES IT LOCATED? nisemeje!
  3. C

    Hivi ni sahihi kwa mwanaume kulala ukweni?

    no, aiibuuuu na kujichoreshaaaaaaa tu
  4. C

    Penzi la huyu dada linanitia kiwewe

    tayari umekwisha its too late u pass the way of no return! ulichelewa kuomba ushauri pindi tu ulipo anza kumpiga sound.. kifuatacho itv ni kuhamia kwake na kutelekeza familia yako
  5. C

    Wivu ambao sitausahau maishani

    kujipaka mavi!! kujilipua kwa mafuta ya taa.. sio wivu tena ni ukichaa
  6. C

    Nitumie application gani kupata sms anazotumiwa mpenzi wangu?

    kutafuta stres na mfadhaiko wa umoyo
Back
Top Bottom