Samahani wadau hasa madocta, mtoto wangu ana dalili hii ya ugonjwa ikifika saa nane usiku anapata homa kali mno na ikifika saa kumi na mbili asubuhi homa huisha na anarudi hali ya kawaida tatizo ni muda wa saa nane hadi saa kumi na mbili ni SIKU YA TATU SASA hali hii inajirudia. Nimempeleka...
Kero yangu kubwa sana ni kwa afsa polisi wa tz hasa wale wanaoshirikiana na watu wa mitaana ili wawaibie haki ya msingi wananchi watiifu, wazalendo na wachapakazi.
Vitendo vya rushwa vimekithiri kwenye huu muhimiri watu wanaobainika na makosa na wengine wasio na makosa wamekuwa wakitengenezewa...
Acha izo yaani watu waangaike kutafute sukari kwa kupanga mistari kwenye jua, watu tununue sukari sh 4000 watu wameweka tani na matani magarani. Huu ni wizi wa akili ni kama ufisadi mwingine. Kwangu ni kama wauaji. Hiv kwa nini roho za kutu? mugeukie Mungu nyie na biashara zenu na muwe na upendo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.