Culturelessman
Member
- Jan 9, 2013
- 26
- 12
Imemtokea rafiki yangu alienda kikazi sehemu, bila taarifa mkewe alimkaribisha rafikie wa kiume kwake.
Enhe ikawaje? Hebu malizia...Imemtokea rafiki yangu alienda kikazi sehemu, bila taarifa mkewe alimkaribisha rafikie wa kiume kwake.
Kinachomsumbua kimawazo rafikiangu walegwa hao walitaarifiana kuwa hayupo na kukaribisha yaliyojili hakufahamu vizuri alipata taarifa Kwa majiraniEnhe ikawaje? Hebu malizia...
Mbaya sana hiyo....Kinachomsumbua kimawazo rafikiangu walegwa hao walitaarifiana kuwa hayupo na kukaribisha yaliyojili hakufahamu vizuri alipata taarifa Kwa majirani
Ni sahihi kabisa...ni lazima utambue kuoana kwenu ni kwamba hukubinafsisha hata ule uhuru wake binafsi,akiamua kuchapwa anachapwa tu hata ukiwemo!Imemtokea rafiki yangu alienda kikazi sehemu, bila taarifa mkewe alimkaribisha rafikie wa kiume kwake.
Ila ya mke kuleta mwanaume nyumbani dharau ya aina hiyo haikubaliki!Ni sahihi kabisa...ni lazima utambue kuoana kwenu ni kwamba hukubinafsisha hata ule uhuru wake binafsi,akiamua kuchapwa anachapwa tu hata ukiwemo!
Ndoa ni nzuri sana tena sana ila kwakua umeamua kuwa na mtazamo hasi hongera ishi kulingana na mtazamo wako japo kuwaambukiza wengine mtazamo huo siyo sahihiNdio maana wengine hatuamini katika kuoa.
Mtoto wangu mmoja anatosha, acha nizitafute pesa tu.
Kwanini unadhani mtazamo wangu sio sahihi?Ndoa ni nzuri sana tena sana ila kwakua umeamua kuwa na mtazamo hasi hongera ishi kulingana na mtazamo wako japo kuwaambukiza wengine mtazamo huo siyo sahihi
Inategemea ulivyoichukulia...unajua hakuna kitu kinaitwa dharau ila akili huiumba!Ila ya mke kuleta mwanaume nyumbani dharau ya aina hiyo haikubaliki!
Muwe mnaelewa mada. Inakuwaje mwanamke anasubiri wewe mumewe haupo halafu anakaribisha mwanaume ndani. Dini ya Uislam hairuhusu kitu hicho isipokuwa kwa baba mzazi au ndugu wa damu wa kiume.Inategemea ulivyoichukulia...unajua hakuna kitu kinaitwa dharau ila akili huiumba!