kson m
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 5,735
- 2,000
Ujinga wa walimu ni upi hapo?Goodmorning billionaire. View attachment 1647605

Ujinga wa walimu ni upi hapo?Goodmorning billionaire. View attachment 1647605
Uliwafanyaje mkuuKuna dada mmoja alikuwa anamiliki mgahawa mmoja hapa dsm alitaka kuningiza kingi kwenye bit coin nikaenda kuwasikiliza ktk maelezo yao nkaona hapo kunakumizwaa
Nlichowafanyia wao hawatonisahau kwani mm ndy niliwapigaaa
Ova
Hahah mimi hata siwaulumu mkuu,wamepigwa kuanzia waalimu mpk maafisa(akiwemo huyo boss wa procurement) hapo halmashauri.Ujinga wa walimu ni upi hapo? View attachment 1649002
Ongeza tupicha ili show inoge, jana nilimuona Kigwa leo Makonda kumbe nyuma ya Qnet wapi vigogo kibao!Ujinga wa walimu ni upi hapo? View attachment 1649002
Avute pesa kwa q net au huyo dogoSabaya yeye tapeli sugu, hapo anatafuta kuvuta pesa
Sasa kama kumbe nia yake ni wakujengee 'barabara' ili uridhike si uwatafute ili wakujengee na nyingine wakawajengee 'Wazee' wako huko Vijijini?Hawa qnet wapo siku nyingi nchini hapa na kuna wakati walitaka kujenga barabara Sasa leo iweje yatokeee haya yote
Huyo mtuhumiwa wa qnet unadhan ana hela basi...yeye mwenyew alipigwa so anatafta mnyonge nae ampigeKwa mtuhumiwa,sabaya namjua kitambo ni tapeli sugu
Kwanza Mimi sio mwajiriwa wa Qnet ni mwakilishi huru na hii biashara niyakwenye mtandao hata kwenye ilani ya 61 ya ccm inaeleza mkakati wa kuimarisha biashara ya kwenye mtandao" alisema Mwapombe.
Walimu hawa sijui tuwaitaje katika Tanzania hii,yawezekana kada hii ilishavamiwa na vilaza na wapumbavu wengi sana maana asilimia kubwa ya walimu hadi kadi zao za benki wanawakabidhi matapeli yaani huwezi kuelewa kabisa upuuzi wanaoufanya walimu walio wengi.Inasikitisha sana na hawa ndio wanaofundisha watoto wa Tanzania,very dangerous.
Goodmorning Madame...D!GOODMORNING!!!
Jiunge nao tu mkuu,hio Co. Ni group of co'sMbona mimi naambiwa QNET imesajiliwa kama QI GROUP OF COMPANIES tanzania naom a ukweli wanaojua hilo
Kabisa aisee, mpaka unamwonea huruma. Kuna mwalimu mwez wa nane aliamua kuacha kazi kimya kimya ili asishauliwe chochote. Amepigiwa simu pamoja na kufuatwa nyumbani mara nyingi kumsihi arudi kazini, akasema wamwache na maamuzi yake.Yaani walimu wamekuwa uwanja wa fujo ila hawashtuki tu
Huyo Procurement Officer wa hapo halmashauri mbona yeye humsemi ?Au unadhani yeye ametoboa kwa kujiunga na Q-NET?Kabisa aisee, mpaka unamwonea huruma. Kuna mwalimu mwez wa nane aliamua kuacha kazi kimya kimya ili asishauliwe chochote. Amepigiwa simu pamoja na kufuatwa nyumbani mara nyingi kumsihi arudi kazini, akasema wamwache na maamuzi yake.
Baadae wakaja wakaguzi wakaambiwa kuhusu huyo mwalimu, wakampa wiki awe amerudi kazini. Lakini hakurudi.
Baadae ndio katika kutafuta watu wengine wa kujiunga na Qnet ndio siri ikafichuka. Maama alianza kuwashawishi walimu wenzake wajiunge na hiyo network.
In short mwalimu kapauka sana. Anatamani apigiwe simu tena arudi kazini.
Walimu Mungu awasaidie sana. Maana pamoja na malalamiko haya, bado kunawatyu wanaendelea kujiunga. Manaigana sana. Mwalimu mmoja akikopa woote wanaenda kukopa hata kama huna project yoyote. Ngoja waendelee kupigwa tu
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us