Recent content by Cubs

  1. C

    Naomba msaada kwenu wataalam kufahamu jinsi kumtrack mtumiaji wa whatsapp

    Ikiwa simu ana weka Patten lock. Hakuna njia ingine bila kutumia simu yake? Nikijua wala hakuna kupandisha presha. Nitakachofanya kuomuonya akikataa na kubisha napelaka mambo yake kwa wazazi wake wamuweke sawa.
  2. C

    Naomba msaada kwenu wataalam kufahamu jinsi kumtrack mtumiaji wa whatsapp

    Sina mpango wakumtenda chochote huyu mwenzangu. Kama unaweza kufikiria sijua labda nitamuadabisha umekosea. Maana akiwa kazama kwenye upotofu na hataki kubadilika baada kuwekwa chini asikilize wazee mpango wa ndoa nausitisha.
  3. C

    Naomba msaada kwenu wataalam kufahamu jinsi kumtrack mtumiaji wa whatsapp

    Kwamba itakuwaje hapo baada ya ufahamu? Ili sasa nikurithishe vyangu.
  4. C

    Naomba msaada kwenu wataalam kufahamu jinsi kumtrack mtumiaji wa whatsapp

    Nimuonyeshe alipo kosea alfu nitamsamehe iwapo atakubali kujirekebisha.
  5. C

    Naomba msaada kwenu wataalam kufahamu jinsi kumtrack mtumiaji wa whatsapp

    Mipango ya ndoa yetu inaendelea, tunategemea kufunga pingu za maisha mwezi 10 2015.
  6. C

    Naomba msaada kwenu wataalam kufahamu jinsi kumtrack mtumiaji wa whatsapp

    Naomba wataalam mlio humu jf mnipe utaalamu. Kumtrack Bila kuwa na simu ya muhusika karibu. Nahitaji kufahamu anaowasiliana nao katika whatsapp na fb, maana nnaetaka kumtrack ni mpenzi wangu na siku za karibuni ameonyesha kutokuwa mwaminifu katika penzi letu. Nimepata nae mtoto mmoja. Nahitajia...
  7. C

    Swali kuhusu Mahakama ya Kadhi tafadhali

    Waislamu wa sasa walio wengi ni waoga sana, hawatoweza kufanya lolote hata wakipewa ruksa wakitumikie kitabu chao chote katika kuweka sharia kwenye mahakama ya kadhi. Hawa niwaoga sana wakitishiwa nyau tu wanaona wametishiwa simba.
  8. C

    Nafuta nyumba ya kupangisha Arusha mjini

    Nyumba ya kupangisha inahitajika mjini arusha maeneo yalio karibu na katika jiji bajeti 250,000 mpaka 300,000 kutegemeana na nyumba iwe ya viumba viwili moja iwe ni master na sebule na jiko.
  9. C

    Julie Speech On Sharia Law, Ukweli Unaouma

    Dunia ya sasa wanamuabudu yahudi wote wanasema ni kosa la jinai kuwa Muislamu pia kosa kafiri kusilimu.
  10. C

    Julie Speech On Sharia Law, Ukweli Unaouma

    Kimewafurahisha wengi alichosema huyu mdada maana ana manisha UISLAMU ni mgeni australia na Waislamu waliopo australia wote ni wageni. Je ina maana hapa Uislamu ni Dini ngeni na Waislamu wote ni wageni katika nchi hii inayotawaliwa na mfumo kristo.
  11. C

    Vijimisemo vya zamani

    Zamani tukiona jamaa kubwakubwa la mwili tunawaita la kuchumpa.
Back
Top Bottom