Kwani wale wanaofukuzwa kazi kwa vyeti bandia JE NAO WALIJJTOKEZA WENYE VYETI WENYEWE AU PALE TU WALIPOHISIWA KUTUMIA VYETI VISIVYO VYAO NA KUHOJIWA KISHA KUTUMBULIWA.....!! KINACHOTAKIWA HAPA NI HUYU BWANA KONDA BANDIA KUTUMBULIWA AKIONA ANAONEWA BASI ATATOA VYETI VYAKE OG
Hili sakata la vyeti feki kama huyu ndugu yetu ndio angeambiwa mmoja wa wafanyakazi wake wanaomzunguka karibu yake anatumia jina bandia kwa jinsi anavyopenda sifa nazani angemuomba eleta vyeti vyake siku ile anaazimisha mwaka mmoja wa utumishi wake.....!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.