Recent content by ctu

  1. ctu

    Makapuku Forum

    habariii
  2. ctu

    Mawaziri na wabunge mna dhambi gani ajuayo Rais? Mnamuogopa mno

    chumia tonge hao......!!
  3. ctu

    Will the real Paul Makonda please stand up?

    Kwani wale wanaofukuzwa kazi kwa vyeti bandia JE NAO WALIJJTOKEZA WENYE VYETI WENYEWE AU PALE TU WALIPOHISIWA KUTUMIA VYETI VISIVYO VYAO NA KUHOJIWA KISHA KUTUMBULIWA.....!! KINACHOTAKIWA HAPA NI HUYU BWANA KONDA BANDIA KUTUMBULIWA AKIONA ANAONEWA BASI ATATOA VYETI VYAKE OG
  4. ctu

    Tafakari ya leo ya Kipanya kuhusu Sakata la Vyeti Feki

    Hili sakata la vyeti feki kama huyu ndugu yetu ndio angeambiwa mmoja wa wafanyakazi wake wanaomzunguka karibu yake anatumia jina bandia kwa jinsi anavyopenda sifa nazani angemuomba eleta vyeti vyake siku ile anaazimisha mwaka mmoja wa utumishi wake.....!!
  5. ctu

    Nakumbuka Rais alizuia sherehe zisizo na tija

    kwani wewe sherehe unaelewa ni nn Ibambasi
  6. ctu

    Maadhimisho ya Mwaka Mmoja ya Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda kuwa madarakani

    Cheti na Madawa kuna mahusiano gani... LAZIMA CC TUJUE UWEZO WA BOSI WETU KIMKOA KWA KUTAMBUA ELIMU YAKE.... !!
  7. ctu

    Magufuli ulimtembelea Sumaye. Ina maana na wewe msaliti?

    hoja sio kuumwa na kuwa sero hoja ni kujenga umoja ktk taifa letu kwani haya yote ni matatizo hakuna mwenye furaha akiwa sehemu mojawapo kati ya izo
  8. ctu

    Maadhimisho ya Mwaka Mmoja ya Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda kuwa madarakani

    Sisi tunataka vyeti vyake og ili tumkubali
  9. ctu

    Maadhimisho ya Mwaka Mmoja ya Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda kuwa madarakani

    iv kama Halima Mdee angekuwa anatumia jina la mtu mwingine kielimu wizara ya elimu ingekuwa kimya
  10. ctu

    Sifa za wasio na elimu ya halali hasa wanapokuwa wanasiasa

    haaaahaaa kwa hiyo ujifanya wao ndio malaika wasafi
  11. ctu

    Steve Nyerere sio staa kwangu, ni panya – TID

    yetu macho na masikio tu waTZ
Back
Top Bottom