yaani ubarikiwe sana kwa hili maana ni wengi wameshapata madhara kuweka mafuta ambayo siyo mimi nilikuwa sijui ukiweka mafuta yanaisha haraka mtu akaniambia kaweke total utaniambia toka nimeanza Total sijawahi juta mafuta yao hayaishi haraka lo lo lo kweli mtanzania kuendelea ni kazi
Yaani hawafai kabisa umeme kukatika muda wowote, Ukitaka kuongezea units mitambo yote hadi head office out of service the whole day, ukipiga simu kuulizia hawapokei simu haswa Tegeta branch kwa kweli majanga makubwa haya jamani kama vile tanesco yote ifutwe tuanze upya Khaa!!!!
Miaka ya 90 nilikuwa Uk wakati huo Mke wa waziri mkuu Tony Blair alipanda british train asubuhi akielekea kazini kwake yeye ni mwanasheria bahati mbaya hakutaka kuikosa trian akaingia bila kukata ticket ndani ya train akakutana na inspector nakwambia alimkatia fine na ilitoka katika magazeti mke...
Hii habari imenisikitisha sana sana unajua.
Sasa inabidi tuwafundishe watoto wetu kumkabili mtu usiyemjua(strangers) na wazazi/walezi kutokuwaacha watoto wadogo wenyewe barabarani. Nchi za wenzetu huthubutu hata kidogo kumuacha hata centimeter moja maana watu wa aina hii wapo kila kona...
Watanzania tujifunze kuwa makini idara husika zipo kwanini ufanye kitu ambacho kitakupa hasara baadaye na hapo walioumia ni wale waliolipa kodi zao kufanya biashara sijui kama watarudishiwa
Kiukweli anahitaji msaada ila mie kwa mawazo yangu naona wa kuombewa zaidi yaani kiroho na mama yake ameshasema anamwamini Mungu 100% atamponya amsaidie kwanza apone kiroho, hapo sasa kupata watumishi waadilifu yaani wanaotoa huduma bure kama walivyopewa bure.Mwana mwenye hekima humfurahisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.