Habari Wakuu
Bila kuwapotezea Muda, mimi ni kijana wa kitanzania mwenye shahada moja. Nisiingie sana kwenye professional yangu,ila kwa yeyote mwenye uhitaji na mfanyakazi katika kitengo chochote halali, nipo tayari kufanya nae kazi.
1.nina uelewa mzuri katika matumizi ya computer (Microsoft...