Naomba kuuliza je ni wote waliowekeza hela wamepigwa au kuna waliofanikiwa kuwithdraw? Kuna mshikaji wangu aliwekeza anasema yeye jana alifanikiwa kuwithdraw hajapigwa et baadhi ndio wamepigwa. Nimehisi anaficha nisimuone kalizwa
Kwa ndoa zipi hizi za kina joyce kiria kila siku wanalia lia tu, wabongo mjifunze kinachomata katika maisha ni furaha tu siyo umeolewa kila siku unalialia ila unavumilia umaintain status huku wenzio wanakula bata
Na kuna wanaume wanawanyanyasa wanawake pia wakati wakiwa na hela, nina rafiki yangu alikua na kazi nzuri anahudumia familia vizuri hadi mama wa mwanaume anahudumiwa siku alipoacha kazi sababu mimba ilikua inamsumbua mno alinyanyaswa na mwanaume mpaka sasa hivi na ndoa imevunjika. So hii kitu...
Lakini baba anataka mtoto aende shule anayosoma mwanae si kwa ajili ya kuondoa tofauti ni kwa sababu mama k kalalamika kwa nini mama k ampange maamuzi ya familia ?
Sawa uliyongea inaweza ikawa kweli lakini swali je we Mwanaume unajua huna malengo na huyo binti kwa nini uende kavu wakati unajua kabisa hapa sioi na sina future na huyu mtu, maana kwa tabia hiyo basi utazalisha watoto wengi.Hapo hasara ni kwa jamii kuwa na watoto wengi wa mtaani na vibaka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.