Hi jF,ebana mi kunakitu ambacho hata risearch yake bado inanitatiza heb naomba mnsaidie il nipatekuandika ripot ilyo kamilika.Juz kat nilisikia mazee wakisuluhisha ndoa ambayo ilkua karbu kuvunjika.Wazee hawakujua chanzo ni nn maana mme anasema 'mke wangu anakibur han heshim,mwanamke nae 'mme...
jamaa we unamambo ya kikubwa kwel.ktk jamii kunak2 knaitwa perfomativ, k2 hutolewa mara 1 na m2 muhm(assigned person) kama padr na ktk sehem maarum.kwakua ktendo hcho hakjirudii bas watu hufurahia.kuna aina nyng za kufurah ndo mana hata m2 akfark wa2 huria wakjua hawata muona tena,nayo pia ni...
NDIO! watu husema 'no confort in truth' yaan bora asngeambiwa.kile mke huliwa ila mme acjue akjua ndo mwanzo wa matatzo.kama yalvyomkuta dada angu.USHAUR,jamaa achukue mwingne ambae hajui profil yake na dada nae atafute mwngne ambae haljui profil lake.hapo ngoma droo na itabak kua historia ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.