Recent content by Crux Yar-die

  1. C

    CCM na wazee, CHADEMA na vijana

    CCM watavuna walichopanda muda si mrefu
  2. C

    Amerudi tena

    ni muda mrefu nilipotea ila ni kutokana na matatizo ya hapa na pale ambayo hayakuweza kutatulika kwa haraka.Naomba munipokea kwa mikono miwili
  3. C

    Competence of muccobs graduate!

    Mzumbe ni chuo gani ?Locally ama Internationally? Kama wanafunzi wa Muccobs-SUA ni cheep labour sasa sijui wanafunzi wa Mzumbe watakuwa kitu gani! Jariribu kuwa mfuatiliaji kidogo Google upate Rank ya vyuo Duniani na Africa ,Then fananisha na Mzumbe na Sua.Kwa taarifa fupi Huku nchi za watu...
  4. C

    Crdb hii ni kero................you need to change plz....!!!

    Hawa jamaa wanakera sana mimi nimetoa hela zangu zote kwenye Bank yao.Nipo nje ya Tz na nilikuwa natumia VISACARD yao but ilikuwa kero sana,Walifunga acc yangu for three weeks nikiwapigia simu wanasema kesho kesho!..Mpaka last time niliporudi Bongo nikachomoa mpunga wangu wote.
  5. C

    Orodha ya ahadi za Kikwete kwa wananchi 2010-2015

    Mungu amsamehe na wameshaanza kutafunana yeye na bingwa wake wa wajungu Makamba ..Nadhani kama walivyotabiri waungwana kuwa huyu amekuja kuvuruga chama kwa majungu na ataondoka nacho
  6. C

    Vyuo vikuu africa

    hivi kufelisha wanafunzi ndio kipimo cha elimu bora? inashangaza vyuo vya africa ndio vinavyoongoza kwa kufelisha wanafunzi lakini kwenye rank za vyuo bora duniani vipo mbali sana.
Back
Top Bottom