Procurement pia inalipa angalao, japo upatikanaji wa kazi serikali ni mgumu ila ukipata kazi kuna unafuu wa kupata vijisenti nje ya mshahara Japo cyo kivileee
Mimi napita sina cha Kuongeza hapo ila nimechoshwa na hilo limeseji lenu kila siku mishahara inapanda lakini hakuna kinachoongezwa waambieni wanaowatuma kuwa dawa yao 2020
kila nikimlinganisha kiba na diamond naona kama namkosea sana diamond coz kuanzia akiwa peke yke hadi akiwa ameshilikishawa kufunika KWAKE ni lazima, huyu kiumbe ni hatare sana anafanya hit hadi kwenye matangazo so kiba has a long way to go mpaka saiv sioni kama anafaa kushindanishwa na diamond...
cfa nyngne ya hawa jamaa hawapendi kujitambulisha kabila lao mara nyingi na kwa sababu hawapendanagi wao kwa wao so huepuka kujitambulisha kwa kabila ili kupunguza Mazoea baina Yao yani waha wenzao! Ila wana roho mbaya hawa jamaa Hataree always ni wabishi na wanajifanyaga wajuaji sana na...
Hapo tuu ndo huwa nashangaa, naona pages zinazidi kujaa na kuongezeka lakini kama ni mtihani wengi wenu kama cyo wte mmeshafeli kwa sababu hao wte wana-run shows tofauti wakati B-DOZEN Na MCHUVU wakiwa kwa Radio den SAM MISAGO Na dula wanafanya tv shows bt Dula anackikaga kwa Radio sometyms so...
Mkuu nature ya kipindi na watu wanaohojiwa pale plus cku yenyewe inakuwa ni ijumaa mixer gambe unalolionaga kwenye zile counter zao deni utakubaliana na mm kuwa Ommy crazy ndo the right dj kulingana na sehemu husika! Walikuwepo akina dj mafuvu kwa hicho hicho kipindi bt kwa hiyu jamaa...
Nimeshuhudia awamu nyingi za uongozi lakini awamu hii ni kiboko yani imejaa matamko kuliko utekelezaji na hii inapelekea watu kutoamini kila kinachohutubiwa iwe na viongozi wandamizi au mawaziri wao, Nadhani kuna shida mahali.
Binafsi nimechoshwa na hizi stori za kupanda kwa mishahara zipo tokea July bt cjaona ukweli wwte kuhusu hili jambo so cjaona umuhimu zaidi ya kutujazia screen saver zetu hapa!
Nikuwa very much interested kusoma hii threat but nilivyoona LIZABONI hata sikupata mood ya kuendelea coz huyu jamaa anajitoaga ufahamu hata kwenye mambo ya msingi yy anawazaga chama cha kijani tuu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.