UDOM first year 2016/2017 Tukutane hapa

UDOM first year 2016/2017 Tukutane hapa

Karibuni sana mliochaguliwa UDOM cha msingi ni kutambua elimu ni popote tu kinachohitajika ni jitihada zako tu
 
Kuna watu walidharau shule za secondary za kata lakini sasa hivi watu ndo wanakimbilia
 
KARIBUNI SANA VIJANA WA FIRST YEAR KATIKA CHUO KIKUU DODOMA ....NAWAPONGEZA ...SANA ...KAMA UMEPANGWA HUMANITIES UNAWEZA UKANIULIZA SWALI ...
 
hongereni mliopangiwa udom hakika hamuwezi kujuta kama atakayepangiwa SAUT na matawi take n.k
Kama aliyepangiwa SAUT amechagua mwenyewe kwa nini ajute? Kila mtu aende alipo pata apige kitabu watakutana mtaani baada ya kumaliza ndio watambiane kwenye interview na kazi.
 
Nimechaguliwa bachelor of science in biology hapo UDOM tayari people zishaniambia nitasota kwa ajira! nifanyeje?
 
Unajua bahna kuna watu wanakera kweli kweli ww kama sio muhusika kwann usinyamaze kimya!!! Hayo mambo mnayosema kuwa udom ni chuo cha kata yalishasemwa mpaka watu wamechoka wanaokama ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu maana hutafaidika chochote tupia maneno kuhusiana na uzi unavyosema na sio kuleta mambo ambayo hayajengi...naipenda chuo changu ndo maana nafurahi kuwasaidia ndugu zangu wanaokuja kuanza masomo so kama vyuo vingine hawajaweka sioni sababu ya kuanza kusema cjui tuna kiherehere ,, sasa ww utaanzisha uzi hata watu hawajaona post zao....
Mkuu he sisi wa diploma tunaruhusiwa kuchangia?
 
Nimechaguliwa bachelor of science in biology hapo UDOM tayari people zishaniambia nitasota kwa ajira! nifanyeje?
Ukisikiliza ya watu utasota kweli kweli..kapige shule mambo mengine huja baadaye
 
Naomben kujua juu ya hil,hv waliooomba kujiunga na degree from dip kwa kutumia guide book waliyotoa mwanzo hao wanatafanyeje? Maana guide book ya kwanza iliruhusu wenye GPA ya 2.7 na wao waliomba wakaambiwa deadline n may 30 na wakafanya hvo,na July wakabadili mfumo tena wa GPA ya kwenda chuo ,je wale walio apply mwanzo na hawana cfa watarudishiwa hela yao
 
Sor wapendwa Naomba msaada mniangalizie mdogo wangu Mwenye S0230/0743/2016 maana mpaka saivi hatujajua alipochaguliwa
 
Back
Top Bottom