Wahi clinic Dada,miez yote hyo hujaenda bado unasubir mumeo akubali.asipokubali itakuaje. Changamka mama n hatari kwako na kwa mtoto pia.acha uzembe.sometimes jiongeze mtoto umebeba wewe na sio yeye.chaaaaa
Habari! kuna ndugu yangu kababuka mdomo. Pia una maumivi. Yaani umekua mwekundu! kama kavuta bangi lakini hajawahi tumia! labda ni lipbam tu hiz za kawaida.
Je kuna tiba ya huu ugonjwa kwa wataalam wa ngozi tafadhali
Habari wadau, sababu ya kupishana kwa majibu ya ultrasound ni nini? Mwanzo yalionyesha EDD n tar 22/10/2015 mimba ikiwa na miez mi4.
Na sasa inaonyesha tar 22/11/2015.
Msaada tafadhari. Asante kwa muda wenu mtakaotumia.
jaman nmepga Leo cm kwa huyo agent wao wa njombe.naongea kiingereza mwenzangu hanielew. nkasikia anwambia mwenzie `help me please' nkaulizia details hizo za kazi. nkaambiwa zko nafas Tatu tu. nkamwulza mbona mmeandka kuna nafas 2000 na kuna kada nyng tu ikiwemo ya uhasb na tunaanza kutuma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.