Ndugu lets think beyond our noses,majirani zetu kenya mtoto anatoka darasani na kukimbia nyumbani kunyonyesha ,na wanatuzidi uchumi elimu kasoro madini tu,mbona wako sawa tu sisi,tunafeli wapi?
MsemajiUkweli,
Acha upotoshaji kijana,awamu zote walikuwa wakirudi shule hawa mabinti,mbona kulikuwa hamna tatizo?
kwani serikali inapata hasara gani kuwasomesha hawa mabinti,mbona awamu zilizopita walikuwa wanasoma na kufunya vizuri tu kwenye elimu?
nina mfano mzuri tu,mtoto wa jirani...
mimi nilikutana na kabinti kumbe bado bikra ,kila nikikashika shika kanajamba tuu,
siku kalipo kubali tukapeane papuchi aisee kalijamba nunstop hadi nikakaacha bila kukagengenda.
kuazia siku hiyo sitaki tena vibinti mie
kuna mawili,game lako sio alilotarajia au alikuwa anataka apige show tu na wewe then asepe ana mtu wake.
ushaona wapi Rais ana fanaya kampeni baada ya uchaguzi?
ingekuwa ni mimi ningemuambia huyu mwenezi wa ccm kwamba hapo ni hospitali sio ofisi ya chama wala jukwa la porojo.
Ningemuambia sikiliza mwenezi,achene kuingiza siasa kwenye profession za watu,kafanyie siasa sehemu nyingine lakini sio hospital aiseee,(kwa lafudhi ya kichaga) .nilikuwan hapo...
acha uongo ,that's engine coolant mkuu ,wadanganye wanao..huyo ponda baada ya kugongwa na gari kuumia kiasi ile alikimbia au alifariki? hapa tuelezane ukweli hii gari iliivaa lori kwa nyuma ,gari iliyogonga punda haiwezi kubonyega hivi,hii gari iligongana na kitu chenye uzito Zaidi ya punda...
punguza jazba wewe kunguru mwitu,unaandika as if huyo unaemtetea ni mungu ! binadamu kweli hatuna kabisa busara,yaani mtu anapandwa na mori kisa demigod kaambiwa ameropoka,..kama hata mungu muumba huwa analiliwa na binadamu,sometimes na kumlaumu sembuse binadamu kisa Rais.
mara ngapi umemlaumu...
Hahahahaha single channel vocal ,hawa jamaa nawashangaa sana ,yaani mtu kasema na clip zipo mtandaoni,kwenye hazard za bunge kuna sauti ,sasa wao wanataka ushahidi upi tena jamani.
hili jeshi mbona limekuwa un professional kwenye majibu yao?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.