scopic sniper
Member
- Oct 18, 2018
- 43
- 47
Pole sana mkuu, kwahiyo ulimpiga chini?
Mimi nilipata demi ambaye hana msimamo kila atakae rusha kamba yumoHahahahh nlishakuwa na manzi moja huyo alikuwa hachagui kilev...
Sigara
Ugoro
Bange
Pombe (za kisasa+kienyeji)
Kuber
Unga tu ndio sijawah kuskia
Alikuwa form4 nkiwa form6
She was smart ashawah kuwa mtangazaj radio kule arusha ya arusha but baadae alipata kaz chuo flan hv cha private kama PRO ni mlev lkn sio malaya tulishindwana kwa huo ulev lkn mambo mengne yuko poa