Owawa,pole sana kwa kuguswa na jambo hili,na nadhani wote tumeguswa.sikumfahamu chagulani ila nilikutana naye wakati wa uchaguzi wa bavicha huu uliompa heche uenyekiti.mimi ni mwanafalsafa,nilisikiliza tu hoja zake,yeye,mtu anaitwa Ben,na mwakagila.baada ya kuchambua upeo wao haraka japo sikujua...