don-oba
JF-Expert Member
- Dec 8, 2011
- 1,387
- 677
Wanajamii, muda si mrefu kulikuwa na kipindi ITV wakimhoji Ernest Sango kamanda wa polisi kutoka mkoa wa pwani, juu ya maadhimisho ya wiki ya nenda kwa usalama barabarani. Pamoja na mambo mengine kamanda Sanga kupitia ITV ameviomba vyombo vya habari kutangaza maadhimisho hayo. SWALI: HIVI ULE MGOMO WA WAANDISHI KUTOKANDIKA NA KUTANGAZA HABARI ZA KIPOLISI UMESITISHWA?.